PICHA: Kurasini Road Intersection (Flyover) kuelekea Mwl. Nyerere Bridge, Kigamboni

Ngoja waje kina salary slip na wenzake wao kazi ya kubwa ni kupinga tu hata kama jambo lina maslahi ya taifa huu ndiyo upinzani wa Tanzania.
Na bila kumsahau Bi Hellen atasema haki za binadamu zimevunjwa kwenye ujenzi huu wa flyover..
 
Wakuu,

Yawezekana wengi hawakujua kuwa ujenzi wa hii intersection ulifanyika kwa kiwango gani lakini ningependa kuwapa perspectives tofauti ambazo zipo.

4be76c4eba4b7748a71c43a9ac1fc52d.jpg

Hii picha ilitumiwa katika baadhi ya vyombo vya habari.

Hii intersection ipo karibu na Baraza la Maaskofu (TEC), Kurasini jijini Dar es Salaam.
Naona hapo pembeni bandari kavu imejaa maji ya kutosha na kubadilika kuwa bandari dimbwi
 
Ngoja waje kina salary slip na wenzake wao kazi ya kubwa ni kupinga tu hata kama jambo lina maslahi ya taifa huu ndiyo upinzani wa Tanzania.
Bado wanazungusha mikono watakuja tu.
 
Bado daraja hili ni kero kubwa kwa watumiaji!!

Unapotokea Dsm kwenda Kigamboni kwa kutumia daraja hili upande wa Kigamboni hakuna barabara kabisa!!

Yaani ni matope kwa kwenda mbele hasa kipindi cha mvua kama hiki!!

Sasa kwa kimeo changu hiki kiStarlet mbona niliipata!!

Nadhani wasingefanya haraka kulifungua mpaka wamalize ujenzi wa barabara upande wa Kigamboni na sisi tungewavumilia tu!!

Kwa upya na ushamba wetu ndio tunavuka hivyohivyoili mradi tuoshe macho lakini ni kero mno!!

Mtu unapita vizuri kwenye daraja lenye barabara tatutatu lakini ukivuka tu daraja unakutana na tope la ajabu na makorongo yakuweza hata kuzama kontena!!
 
wanajiji nao tubadirishe mapaa yetu sasa,yana kutu mno...yanaharibu maana nzima ya hizi barabara nzuri....ukiwa angani utasikitika sana jinsi hili jiji linavyotizamika...mnaotumia usafiri wa anga mtakuwa mashahidi wenzangu juu ya hili...

Ni kweli kabisa. Mji wa Dar ukiutazama ukiwa ngani upo kiholela mno. Nyumba nyingi bati ni chakavu na zimejaa kutu. Hali hii inafanya jiji lizidi kuonekana squatter zaidi. Ni vema kupitisha by-law ili kujenga jiji hili upya.
 
Bado daraja hili ni kero kubwa kwa watumiaji!!

Unapotokea Dsm kwenda Kigamboni kwa kutumia daraja hili upande wa Kigamboni hakuna barabara kabisa!!

Yaani ni matope kwa kwenda mbele hasa kipindi cha mvua kama hiki!!

Sasa kwa kimeo changu hiki kiStarlet mbona niliipata!!

Nadhani wasingefanya haraka kulifungua mpaka wamalize ujenzi wa barabara upande wa Kigamboni na sisi tungewavumilia tu!!

Kwa upya na ushamba wetu ndio tunavuka hivyohivyoili mradi tuoshe macho lakini ni kero mno!!

Mtu unapita vizuri kwenye daraja lenye barabara tatutatu lakini ukivuka tu daraja unakutana na tope la ajabu na makorongo yakuweza hata kuzama kontena!!
Mkuu unakaa kisiwani, kisota, tungi, ama vijibweni?
 
Ni awamu iliyopita, sawa. Lakini Magufuli ana mchango mkubwa sana katika hili
.....Akiwa Waziri wa Ujenzi.Hapo sawa kabisa Mkuu. Mie kwanza SIKUAMINI kama picha hiyo imepigwa Tanzania...Kumbe inawezekana barabara ya Mandela kuwa hivyo hadi Ubungo....Ningependa kuona njia SITA hadi Chalinze.....
 
Tupongeze serikali ya awamu ya Nne kwa hatua hii pamoja na madhaifu mengi lakini yapo mazuri kama haya ambayo yatadumu milele na milele...
 
Wakuu,

Yawezekana wengi hawakujua kuwa ujenzi wa hii intersection ulifanyika kwa kiwango gani lakini ningependa kuwapa perspectives tofauti ambazo zipo.

4be76c4eba4b7748a71c43a9ac1fc52d.jpg

Hii picha ilitumiwa katika baadhi ya vyombo vya habari.

Hii intersection ipo karibu na Baraza la Maaskofu (TEC), Kurasini jijini Dar es Salaam.

8a882ff5b3e6f5751f2e073eee33afe4.jpg

Hapo ni ukiwa unaanza kuingia kwenye intersection yenyewe.

88b30f129e70cd515e91a3b6ddad74db.jpg

Hapa ni ukiwa juu ya njia ya treni ambayo ipo juu ya barabara iendayo Kigamboni.

b45ae1b49e2956b7af7dc22ab469e881.jpg

Ukiwa juu ya barabara nyingine unaona magari ya mizigo yakitokea Bandarini

Natumaini wengine mnazo picha nzuri zaidi yangu na mtajazia.

Nichukue fursa hii kuwapongeza wajenzi wa mradi huu kuibadili sura ya eneo hili.

Umefanya jambo la maana sana, Informer...
 
Tupieni na picha za upande wa pili wa daraja, KIGAMBONI!!

Yaani ukivuka upande wa pili wa kule Kigamboni ndo hamu nzima ya kutumia daraja hili itakutoka, utatamani bora ungevukia Pantoni tu!!

Yaani ni mitope na mikorongo hiyo KIVULE inangoja!!

Wamalize barabara kwanza Kigamboni!!
 
Siishi Kigamboni ila kwa shughuli zangu huwa nakwenda kule mara kwa mara!
kipande kile kinasumbua sana hasa kipindi hiki cha mvua... Lakini mh Rais ameshasema kuwa kama ameweza kunyoa nywele zote kichwani, basi hawezi kushindwa kumalizia ndevu kidevuni
 
Ni awamu iliyopita, sawa. Lakini Magufuli ana mchango mkubwa sana katika hili

Kuna watu walituambia Dr. Dau alikuwa anamzunguka Dr. Magufuli akawa anawasiliana na Rais Kikwete kuhusu ujenzi huu directly na hata siku ya uwekaji jiwe la Msingi hakualikwa, leo limekamilika tunaambiwa Dr. Magufuli ana mchango Mkubwa sana. Mwenye kuweza kufafanua ukweli ni upi kati ya hayo mawili yanayokinzana anisaidie.
 
VICHWA VYA HABARI MIAKA KUMI IJAYO NA KUENDELEA ...

TBC HABARI 2025: Ndugu Edward Lowassa aapishwa kuwa rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na kuwa rais wa kwanza kuongoza nchi hii kutoka chama pinzani na kuwa rais mwenye umri mkubwa zaidi ya marais wote wa Afrika.

GAZETI LA MWANASPOTI 2054: ujeruman yasema walistahili kutolewa na taifa stars kwenye michuano ya kombe la dunia, kwani Taifa stars walicheza kwa kujituma zaidi yao.

GAZETI LA NEW YORK MAIL 2060: rais wa Tanzania ataongoza mkutano wa G8(nchi nane bora zenye maendeleo ya viwanda)

GAZETI LA THE SUN 2072: Tanzania yavunja rekodi ya dunia kwa kuchukua kombe la dunia la wanawake, kombe la dunia la wanaume na klabu yake ya Yanga kuchukua ubingwa wa dunia ndani ya mwaka mmoja.

BBC NEWS 2088: India yashukuru msaada kutoka Tanzania iliyowasaidia wananchi wa India walioathirika na mafuriko makubwa zaidi kuwahi kutokea kwenye historia ya dunia.

CNN NEWS 2091: Viwanda vitatu vya Tanzania vyaingia katika 20 bora ya viwanda duniani na kuvunja rekodi ya dunia kwa viwanda vitatu kutoka nchi moja.

ITV HABARI 2099: Roketi ya Tanzania iliyosafiri kwa muda mfupi zaidi kuliko roketi zote (Siku mbili tu) na kufika umbali mrefu zaidi uliowahi kufikiwa na roketi zote, yabaini kuwa kuna sayari nyingine iliyombali kuliko sayari zote na yenye uwezo wa kuwafanya wanadamu waishi huko pasipo kuhitaji usaidizi wa mashine za hewa kama zilivyo sayari zingine tofauti na dunia.

ALJAZEERA NEWS 2119: Mwanasayansi wa kwanza duniani raia wa Tanzania amegundua dawa ya kuwarudisha watu wazima na wazee utotoni ndani ya masaa 20 baada ya wao kutumia dawa hiyo.

CITIZEN NEWS 2135: Nchi ya Tanzania yasitisha msaada wake kwa Marekani baada ya nchi hiyo kuzidisha rushwa na matumizi mabaya ya pesa za umma kwa viongozi wake.

CTN NEWS 2150: Rais wa Uchina akutana na rais wa Tanzania ikulu jijini Dar es Salaam na rais huyo wa Uchina kufikisha ombi lake kwa rais wa Tanzania kuweza kulisaidia jeshi la Uchina kuweza kukabiliana na kundi la kigaidi la Dragon Hunters.

Time will tell
 
Back
Top Bottom