vipi kama watekaji wameamua kutuchezea tu maana ni ngumu sana kwa cctv kuonesha picha za gari mbele na nyuma tena hillo gari halitembei
vipi kama watekaji wameamua kutuchezea tu maana ni ngumu sana kwa cctv kuonesha picha za gari mbele na nyuma tena hillo gari halitembei
Uki Google ni namba za Msumbiji, plus IGP alianzia na kuongelea ishu ya Kibiti, watu kukimbilia Mozambique na wana mafunzo ya silaha.
Unaweza connect dots
vipi kama watekaji wameamua kutuchezea tu maana ni ngumu sana kwa cctv kuonesha picha za gari mbele na nyuma tena hillo gari halitembei
Very TrueIGP ameeleza mengi na kueleweka sana.
Sasa mnaotaka kuwafundisha kazi.. nendeni mkawafunze muache kutumia ID fekelo kuandika upupwu huku hamjui hata chembe ya haya.. mnaota tu na kubwabwaja..
Kama hiyo ndo Gari iliyomteka MO bhasi Wakiitwa FBI kazi imeishaa maana Hilo gari information zake zote zinaweza kupatikana...toka kutengenezwa mpaka kununuliwaa...!!Sidhani kama namba hizo ni za kweli maana watekaji wanaonekana kuwa more professional na walijua kabisa pale kuna CCTV camera!
Wanaweza kuweka namba feki na kulizungusha hilo gari mpaka mpakani ili kumask tukio. Jeshi letu likiangaika na namba za gari tutafail kabisa.
Kumteka MTU eneo kama lile unaitaji kuwa na akili sana hivyo wanaomtafuta wanatakiwa kuwa na akili Mara mbili zaidi ya mtekaji na je? Unavyoona jeshi letu lina uwezo huo?