Picha Kubwa: Mbunge Dkt.Ali Bashiru akifuatilia hotuba ya Rais Samia

View attachment 1761204

Mbunge wa Viti Maalumu akifuatilia hotuba ya mheshimiwa Rais. Mbunge huyu wa viti maalumu kabla ya kuteuliwa amewahi kushika nyazifa mbalimbali ikiwemo Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu Mkuu wa CCM.

My Take
1. Demotion isikie tu kwa mwenzio
2. Malipo ni hapa hapa duniani
Yuko mbali kimawazo apa ni kivuli chake tu., ameumizwa sana picha inaonyesha
 
Mie naamini mtu kama Bashiru inabidi apewe heshima yake, watu wengi wamepita mikononi mwake akiwa pale UDSM, akiwa kama Katibu wa chama CCM na wengine ni viongozi wakubwa.Swala la Kumuandama mtandaoni ni chuki zisizo na tija kwenye nchi.
 
View attachment 1761204

Mbunge wa Viti Maalumu akifuatilia hotuba ya mheshimiwa Rais. Mbunge huyu wa viti maalumu kabla ya kuteuliwa amewahi kushika nyazifa mbalimbali ikiwemo Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu Mkuu wa CCM.

My Take
1. Demotion isikie tu kwa mwenzio
2. Malipo ni hapa hapa duniani
Mwezio anaCV kubwa so subiri tu atapata nafasi kubwa zaidi
 
View attachment 1761204

Mbunge wa Viti Maalumu akifuatilia hotuba ya mheshimiwa Rais. Mbunge huyu wa viti maalumu kabla ya kuteuliwa amewahi kushika nyazifa mbalimbali ikiwemo Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu Mkuu wa CCM.

My Take
1. Demotion isikie tu kwa mwenzio
2. Malipo ni hapa hapa duniani

Ningepata wasaa wa kusema neno lolote kwake, ningempa maneno ya matumaini. Dunia bado inazunguka kama kawaida.
Amtumainie Mwenyezi Mungu ndiye mwenye siri za mambo ya maisha yetu. Bado ana nafasi. Muda Mwalimu mzuri. Baada ya hizi nderemo na vifijo, tutarudi tena kufanya kazi
 
View attachment 1761204

Mbunge wa Viti Maalumu akifuatilia hotuba ya mheshimiwa Rais. Mbunge huyu wa viti maalumu kabla ya kuteuliwa amewahi kushika nyazifa mbalimbali ikiwemo Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu Mkuu wa CCM.

My Take
1. Demotion isikie tu kwa mwenzio
2. Malipo ni hapa hapa duniani
1. Demotion isikie tu kwa mwenzio
2. Malipo ni hapa hapa duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom