Ya kumpindua huyo ulie mtaja hapo..Uhakika wa kitu gani mkuu?
Ya kumpindua huyo ulie mtaja hapo..Uhakika wa kitu gani mkuu?
Bashiru aliminya sana demokrasia kwa kununua wapinzani. Leo ana tamani ajiunge na upinzani kwa mambo anayo pitia.Bashiru analipa malipo gani?
JWTZz walikataa,wakasema kuwa wao watailinda katiba.Ya kumpindua huyo ulie mtaja hapo..
Bwashee mpeni ulinzi wa kutosha bashiru la sivyo mtakuja mkuta kajinyonga.Hiyo picha siyo jana.
Chadema mnateseka na Dr Bashiru!
Labda akawe nyapara jela au kaburiniHuju jamaa mnamsakama sana...
Kwa taarifa yenu atakuja kuwa nafasi ya juu na hamtoamini....Take my word.
Mbona Dr Slaa hajajinyonga?Bwashee mpeni ulinzi wa kutosha bashiru la sivyo mtakuja mkuta kajinyonga.
Slaa yule kama aliweza kutukimbia kwenye clergy basi anaweza kuwa hata jihadist yule. Ana roho ngumu sana.Mbona Dr Slaa hajajinyonga?
Huyu bora ajiuzuluView attachment 1761204
Mbunge wa Viti Maalumu akifuatilia hotuba ya mheshimiwa Rais. Mbunge huyu wa viti maalumu kabla ya kuteuliwa amewahi kushika nyazifa mbalimbali ikiwemo Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu Mkuu wa CCM.
My Take
1. Demotion isikie tu kwa mwenzio
2. Malipo ni hapa hapa duniani
Yuko mbali kimawazo apa ni kivuli chake tu., ameumizwa sana picha inaonyeshaView attachment 1761204
Mbunge wa Viti Maalumu akifuatilia hotuba ya mheshimiwa Rais. Mbunge huyu wa viti maalumu kabla ya kuteuliwa amewahi kushika nyazifa mbalimbali ikiwemo Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu Mkuu wa CCM.
My Take
1. Demotion isikie tu kwa mwenzio
2. Malipo ni hapa hapa duniani
Inasemwa mna orodha.Mbona unastuka...!? Ni kweli nini!?😂🤣😂🤣🤣.Anaweza aka-commit ......... Watu wawe karibu nae
Mwezio anaCV kubwa so subiri tu atapata nafasi kubwa zaidiView attachment 1761204
Mbunge wa Viti Maalumu akifuatilia hotuba ya mheshimiwa Rais. Mbunge huyu wa viti maalumu kabla ya kuteuliwa amewahi kushika nyazifa mbalimbali ikiwemo Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu Mkuu wa CCM.
My Take
1. Demotion isikie tu kwa mwenzio
2. Malipo ni hapa hapa duniani
Kweli eeh...si mtu wa kwenu hukoLabda akawe nyapara jela au kaburini
View attachment 1761204
Mbunge wa Viti Maalumu akifuatilia hotuba ya mheshimiwa Rais. Mbunge huyu wa viti maalumu kabla ya kuteuliwa amewahi kushika nyazifa mbalimbali ikiwemo Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu Mkuu wa CCM.
My Take
1. Demotion isikie tu kwa mwenzio
2. Malipo ni hapa hapa duniani
1. Demotion isikie tu kwa mwenzioView attachment 1761204
Mbunge wa Viti Maalumu akifuatilia hotuba ya mheshimiwa Rais. Mbunge huyu wa viti maalumu kabla ya kuteuliwa amewahi kushika nyazifa mbalimbali ikiwemo Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu Mkuu wa CCM.
My Take
1. Demotion isikie tu kwa mwenzio
2. Malipo ni hapa hapa duniani
Ooh kumbe. ....ok okJWTZz walikataa,wakasema kuwa wao watailinda katiba.