Bilionea kid
JF-Expert Member
- Oct 19, 2018
- 581
- 516
Korea kusini, ndio nchi inayo ongoza Duniani kwa Raia wake kufanya plastic surgery (matengenezo ya mwili), ili kuleta muonekano mzuri kwao. Hii picha imekuwa gumzo sana mitandaoni, kutokana na wanawake hawa kufanya matengenezo ya mwili ili kuwa na muonekano mzuri Unaambiwa katika hii picha uyo wa katikati, ni mama wa hao wa wili wa pembeni na ana miaka 63.. Huyo wa pembeni kulia ni mtoto wake anaitwa Lure Hsu, mwenye miaka 41, na huyo wa pembeni kushoto ni mtoto wake pia, anaitwa Sharon, mwenye miaka 36 MWISHO