Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Mara kadhaa nimekuwa nikiona kitu cha Mhe Rais kufunikwa kabla hajawasili kwenye mikutano, makongamano n.k. Pia hata kwa Makamu wa Rais na Waziri Mkuu.
Ni kwanini huwa wanakifunika ?
Ni kwanini huwa wanakifunika ?