knock knock
JF-Expert Member
- Mar 8, 2018
- 326
- 384
Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad asubuhi hivi ya Leo amewasili kisiwani Pemba Kwa ajili ya Kushiriki katika Sherehe za Kutimiza Muaka 10 tangu Kuanzishwa Rasmi Kwa JUKE CUF Zinazofanyika Katika Ukumbi wa Dolphin Uliopo Bobwe jimbo la Gando Wilaya ya Wete Pemba.
Na.Salim Bimani
Na.Salim Bimani