Timtim
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 608
- 124
Huu uzembe ni wa huyo dada aliyeacha watoto bila uangalizi wa mtu mzima. Na huyo mtoto ni mtundu sana maana alifungua komeo ya uzio wa nje na kuwafuata simba wakiwa kwenye uzio wa wanapoishi. Almanusra hao simba walikuwa wamefungiwa ni ile mikono ya simba kupitia kwenye nondo za uzio wao ndio iliyomdhuru mtoto lau kichwa cha simba kingeweza kupitiliza kwenye nondo mtoto angeliwa hai.
Ieleweke kuwa simba walikuwa wamefungiwa na huo uzio wa awali mtu akisimama hawezi kudhurika na hao wanyama simba. Jambo la busara ni settle nje ya koti la sivyo watuhumiwa sio wenye zuu na wafanyakazi wao tu bali hata familia ina makosa.
Ieleweke kuwa simba walikuwa wamefungiwa na huo uzio wa awali mtu akisimama hawezi kudhurika na hao wanyama simba. Jambo la busara ni settle nje ya koti la sivyo watuhumiwa sio wenye zuu na wafanyakazi wao tu bali hata familia ina makosa.