Tarehe09/06/2012 ndugu Titus Mahanga, aliiruhusu familia yake kwenda TegetaZoo kuangalia wanyama. Kwa wale msioifahamu Tegeta Zoo ipo TegetaKibaoni 2km kutoka ilipo barabara kuu. Hii Zoo inamilikiwa na bwana Wilison Kusaga.
Mtoto aliyeshambuliwa na simba anaitwa Newton Titus (5), aliongozana na binamu zake Diana (8), Lucy (28). Taratibuza pale Zoo unapofika usalama ni juu yako, Mtoto Newton Titus (5)pamoja na binamu zake baada ya kuingia ktk Zoo walianza kuzunguka nakuangalia wanyama mbalimbali, walipofika karibu na banda la Simba binamu wao (Lucy-28) akaenda chooni akawaacha binamu zake (Newton na Diana) nje wamngoje. MtotoNewton (5) akatumia muda huo kwenda banda la simba, chakushangaza banda la simba halikuwa na msimamizi yeyote isitoshe uzio au fensi ya banda lilikuwa halina kufuli bali mlangou mebanwa tu kwa kutumia komeo, mtoto Newton (5) akaenda kufungua ulemlango wa banda la Simba ndipo akakumbwa na hiyo dhahama, kulikuwa naSimba wawili wakamshambulia vibaya sana mtoto. Wakati tukio hilo likiendelea mtoto mwingine anayeitwa Diana (8) akakimbia kwenda kumuita binamu wao aliyekuwa chooni ambaye anaitwa Lucy (28) alipotoka choonikwa taharuki akakuta Newton (5) akishambuliwa na Simba, Lucy akaziraipale pale. Bahatinzuri alitokea mtalii mwingine mwenye asili ya Asia akamwokoa mtoto Newton kutoka ktk makucha ya Simba na kumkimbiza hospitali kwa gari yake (Mico dispensary iliyopo tegeta).
Mtoto Newton kajeruhiwavibaya kichwani, pajani na kiunoni. Mtoto baada ya kupewa matibabu pale dispensary mke wa mmiliki wa Zoo Mrs Kusaga akalipia gharama ya Tshs. 64,000/=, chakusikitisha hakuwahi kutoa tena msaada wa aina yeyote kwa mtoto Newton wala kujulia maendeleo ya mtoto. Baba wa mtoto bwana Titus Mahanga alipeleka malalamiko police Tegeta naakapewa RB, police wakamwita Mrs Kusaga kwa mahojiano lakini hakuna kitu ambacho kimefanyika mpaka sasa, zaidi ni police kumtisha bwana Titus Mahanga asijaribu kumshitaki bwana Willilson Kusaga.
WanaJF BwabaTitus Mahanga anataka ushauri wenu wa kisheria juu ya bwana Willium Kusaga mmiliki wa Tegeta Zoo, ikumbukwe kama banda la Simba (uzio)ungefungwa kwa kufuli mtoto Newton asingepatwa na dhahama iliyomkutakupelekea kuatarisha maisha yake. Mpaka sasa hivi mtoto bado haliyake sio nzuri. Na kwa mujibu wa daktari anadai mtoto akiri yakeishavurugika, atakuja kuwa katili au mjinga.
Namba ya mzazi bwana Titus Mahanga 0717 / 0767 – 441044 Gongola Mboto – Dar es salaam.
mtoto Newton akiwa na Baba yake.
mtoto akipatiwa huduma na daktari
Nyama ya paja ikiwa imenyofolewa na simba
mtoto akiwa na majera ya simba kichwani
Mtoto aliyeshambuliwa na simba anaitwa Newton Titus (5), aliongozana na binamu zake Diana (8), Lucy (28). Taratibuza pale Zoo unapofika usalama ni juu yako, Mtoto Newton Titus (5)pamoja na binamu zake baada ya kuingia ktk Zoo walianza kuzunguka nakuangalia wanyama mbalimbali, walipofika karibu na banda la Simba binamu wao (Lucy-28) akaenda chooni akawaacha binamu zake (Newton na Diana) nje wamngoje. MtotoNewton (5) akatumia muda huo kwenda banda la simba, chakushangaza banda la simba halikuwa na msimamizi yeyote isitoshe uzio au fensi ya banda lilikuwa halina kufuli bali mlangou mebanwa tu kwa kutumia komeo, mtoto Newton (5) akaenda kufungua ulemlango wa banda la Simba ndipo akakumbwa na hiyo dhahama, kulikuwa naSimba wawili wakamshambulia vibaya sana mtoto. Wakati tukio hilo likiendelea mtoto mwingine anayeitwa Diana (8) akakimbia kwenda kumuita binamu wao aliyekuwa chooni ambaye anaitwa Lucy (28) alipotoka choonikwa taharuki akakuta Newton (5) akishambuliwa na Simba, Lucy akaziraipale pale. Bahatinzuri alitokea mtalii mwingine mwenye asili ya Asia akamwokoa mtoto Newton kutoka ktk makucha ya Simba na kumkimbiza hospitali kwa gari yake (Mico dispensary iliyopo tegeta).
Mtoto Newton kajeruhiwavibaya kichwani, pajani na kiunoni. Mtoto baada ya kupewa matibabu pale dispensary mke wa mmiliki wa Zoo Mrs Kusaga akalipia gharama ya Tshs. 64,000/=, chakusikitisha hakuwahi kutoa tena msaada wa aina yeyote kwa mtoto Newton wala kujulia maendeleo ya mtoto. Baba wa mtoto bwana Titus Mahanga alipeleka malalamiko police Tegeta naakapewa RB, police wakamwita Mrs Kusaga kwa mahojiano lakini hakuna kitu ambacho kimefanyika mpaka sasa, zaidi ni police kumtisha bwana Titus Mahanga asijaribu kumshitaki bwana Willilson Kusaga.
WanaJF BwabaTitus Mahanga anataka ushauri wenu wa kisheria juu ya bwana Willium Kusaga mmiliki wa Tegeta Zoo, ikumbukwe kama banda la Simba (uzio)ungefungwa kwa kufuli mtoto Newton asingepatwa na dhahama iliyomkutakupelekea kuatarisha maisha yake. Mpaka sasa hivi mtoto bado haliyake sio nzuri. Na kwa mujibu wa daktari anadai mtoto akiri yakeishavurugika, atakuja kuwa katili au mjinga.
Namba ya mzazi bwana Titus Mahanga 0717 / 0767 – 441044 Gongola Mboto – Dar es salaam.
mtoto Newton akiwa na Baba yake.
mtoto akipatiwa huduma na daktari
Nyama ya paja ikiwa imenyofolewa na simba
mtoto akiwa na majera ya simba kichwani