Picha: Kama tutatumia akili zetu vizuri, tunaweza kuwa na makazi bora ya kuishi kwa gharama nafuu sana

Hua ni nzuri lakini kumbuka hizo kontena tu hapo ukizitaka hata sasa zitakula si chini ya milion 4 ilihali tofari zinaweza kua za 1.8 million mpaka 2 million kwa ukubwa wa vyumba atakao kua ameweka huyo mwenye makontena,hicho ndo kinacho tushinda,usije ukadhani anavyo vitumia wewe utavipata kwa maelfu tu hapana.
Habari zenu wadau, leo nimeona bora Nishee na nyie hii kitu, najua wengi wetu tumekua na ndoto za kuja kuishi kwenye nyumba au makazi yariyo bora, Japo ndoto hizi zimekua zikikatishwa na gharama kubwa zitokanazo na ujenzi.

Nimefikira sana kwa nini sisi waafrica tunapofikiria ujenzi wa nyumba zetu tunawaza kutumia tu tofali katika ujenzi wa nyumba zetu, wakati wenzetu katika nchi zilizo endelea wanatumia matirio kama mabati, contena, mbao, mawe katika ujenzi wa nyumba zao.

Hii nyumba jamaa katumia used contena na katoa kitu kizuri sana

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
UNAPOSEMA matumizi sahihi ya Akili; unapaswa utambue ufanisi na life span yake Kwanza!

UJENZI WA KUTUMIA CONTENA Ni miongoni mwa Temporary structure!

kwahiyo basi unatakiwa utambue ufanisi wa temporary structure kufaa kuwa makazi ya kudumu unachangamoto gani!
Mfano!
Kontena la ft 20 linauzwa 3mil na lile la ft 40 ni zaidi ya 5mil, usafili kulisogeza site ni pesa, ukataji na designing ni pesa, bado CONTENA Hilo linahitaji Insulation ya mbao ili nifae humo ndani, kazi zote humo kwenye kontena zinahitaji fundi makini ambae kumpata ni pesa!

STABILITY
Unapozungumzia kontena lazima uwaze sustainability katika kipindi Cha upepo mkali (kipupwe), je hilo paa haliwezi fumuka Kama mwavuli?

RUSTING
Tukizungumzia changamoto za kutu kuathili kontena zikoje?

AFFORDABILITY
kwa haraka haraka utaona kontena moja kuliweka lifae kwa matumizi lazima at least 9-10 mil je Hiyo pesa kwenye ujenzi wa tofali unakuwa na vyumba vingapi? Ikumbukwe faida ya tofali Kwanza ni rahisi kupata cheap labor kwasababu wapo wengi, pili unaweza Jenga kidogo kidogo kadri ya uwezo, tatu siyo lazima ufanye finishing ili uweze kuishi!

Kingine Mbao Tanzania ni bei ghali Sana! hivyo kwa contena zima itakutoka pesa ndefu

HUKO CHINA, NA ULAYA! KONTENA NI BEI RAHISI SANA, Hali ya hewa inaruhusu, hawana extended family Kama sisi wapemba na wabara, ikumbukwe pia kadri unavyokua karibu na bahari ndiyo Kutu unaivutia kutafta haraka chuma na kupunguza life span!
KIUFUPI KUTUMIA KONTENA MBALI NA TEMPORARY USE!! ITAKUWA NDO MATUMIZI MABAYA ZAIDI YA AKILI
kwa mikoa ya kaskazin mpk contena likufikie sio chini ya m7-8 na kujenga nyumba ya kawaida ni contena 3 hv asa ukizidisha 7×3=21 hapo bado ujenz wake wakati ukiwa na m20 unaingia ndani ya tofali kibishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UNAPOSEMA matumizi sahihi ya Akili; unapaswa utambue ufanisi na life span yake Kwanza!

UJENZI WA KUTUMIA CONTENA Ni miongoni mwa Temporary structure!

kwahiyo basi unatakiwa utambue ufanisi wa temporary structure kufaa kuwa makazi ya kudumu unachangamoto gani!
Mfano!
Kontena la ft 20 linauzwa 3mil na lile la ft 40 ni zaidi ya 5mil, usafili kulisogeza site ni pesa, ukataji na designing ni pesa, bado CONTENA Hilo linahitaji Insulation ya mbao ili nifae humo ndani, kazi zote humo kwenye kontena zinahitaji fundi makini ambae kumpata ni pesa!

STABILITY
Unapozungumzia kontena lazima uwaze sustainability katika kipindi Cha upepo mkali (kipupwe), je hilo paa haliwezi fumuka Kama mwavuli?

RUSTING
Tukizungumzia changamoto za kutu kuathili kontena zikoje?

AFFORDABILITY
kwa haraka haraka utaona kontena moja kuliweka lifae kwa matumizi lazima at least 9-10 mil je Hiyo pesa kwenye ujenzi wa tofali unakuwa na vyumba vingapi? Ikumbukwe faida ya tofali Kwanza ni rahisi kupata cheap labor kwasababu wapo wengi, pili unaweza Jenga kidogo kidogo kadri ya uwezo, tatu siyo lazima ufanye finishing ili uweze kuishi!

Kingine Mbao Tanzania ni bei ghali Sana! hivyo kwa contena zima itakutoka pesa ndefu

HUKO CHINA, NA ULAYA! KONTENA NI BEI RAHISI SANA, Hali ya hewa inaruhusu, hawana extended family Kama sisi wapemba na wabara, ikumbukwe pia kadri unavyokua karibu na bahari ndiyo Kutu unaivutia kutafta haraka chuma na kupunguza life span!
KIUFUPI KUTUMIA KONTENA MBALI NA TEMPORARY USE!! ITAKUWA NDO MATUMIZI MABAYA ZAIDI YA AKILI
Mi ntajenga kwa kontena baada ya kustaafu mufindi huko najua baada ya kustaafu ntaishi miaka 10 ntakufa so kwa idea ya temporary house inafaa
 
Habari zenu wadau, leo nimeona bora Nishee na nyie hii kitu, najua wengi wetu tumekua na ndoto za kuja kuishi kwenye nyumba au makazi yariyo bora, Japo ndoto hizi zimekua zikikatishwa na gharama kubwa zitokanazo na ujenzi.

Nimefikira sana kwa nini sisi waafrica tunapofikiria ujenzi wa nyumba zetu tunawaza kutumia tu tofali katika ujenzi wa nyumba zetu, wakati wenzetu katika nchi zilizo endelea wanatumia matirio kama mabati, contena, mbao, mawe katika ujenzi wa nyumba zao.

Hii nyumba jamaa katumia used contena na katoa kitu kizuri sana
Hio ni gharama kuliko hata tofali.
Contena mbili hizo bei milioni 5 Hadi 6
Usafirishaji Hadi site ni laki 5 Hadi milioni
Kukata na gesi na kuchomelea laki 6
Kununua nguzo za chuma plus ngazi sh milioni moja
Kuweka vioo milioni 2
Kupiga rangi nyumba yote milioni 1
Plus other charges
Hakuna rahisi hapo
 
Dar es salaam! (Kigamboni,mjimwema) Ukiwa unaenda south beach! Kile kinjia cha vumbi, kabla hujaifikia kipepeo beach! Mkono wa kulia ipo nyumba ya namna hii!
 
Unaweza Kujenga nyumba kwa kutumia container na ikapendeza sanaa ukipata designer mzuri...

Ila sasa tukumbuke, kama container ni la nyumba, tena ya kudumu, basi hakikisha unapata jipya na yale magumu imara, lenye vibali vyote halali, ambapo la ft 20 andaa ANGALAU 3M, na ft 40 andaa ANGALAU 7M,(hizo herufi kubwa hapo zielewe), bado hapo sasa kulisafirisha, kulifitisha site halafu ianze shughuli ya designer kulikata kitaalam kwa muundo wako..

Kumbuka ni ngumu kutumia moja, hasa la ft 20, labda kama ni gheto, hivyo kwa mawili madogo ambapo still utapata vyumba viwili labda na seble andaa angalau 10M, hapo sijazungumzia finishing ya ndani, maana lazima upige board kuua zile reli, Spray/coating kwa ajili ya kuzuia kutu n.k n.k..

Baada ya hapo kama inshu ni ku save gharama angalia sasa kwa hio pesa utakayo tumia, kama 14M kwa vyumba viwii na seble, je kwa nyumba ya kawaida nayo itakuja ngapi? fanya maamuzi.

Kama umependa tuu nyumba ya container sawa, ni nyumba nzuri na ya kuvutia ukipata designer mzuri hasa iwe ya gorofa, Binafsi nazielewaga, na natafuta la fremu.

Ila elewa ya kua katika mazingira yoyote yale, lifespan ya container ni ndogo kulinganisha na ya nyumba iliyojengwa kwa viwango bora vya ujenzi, kinyume na hapo utaingia gharama sana za ku maintain, Na ugonjwa mkubwa ni KUTU.

Tumia container KAMA nyumba kwa mapenzi tuu na sio kupunguza gharama au uimara..

NOTE : Mahesabu yetu yanaweza tofautiana, kwahio hicho nilichoandika hapo juu hakikufungi wewe kuandika chako, mimi nimefanya kutokana na ninavyo jua, na nilishawahi fanya tathmini na ilikua zaidi ya hapo.

Nyumba itabaki kua nyumba tuu na
Container litabaki KAMA nyumba.
Shukran kwa mchanganuo mzuri.
 
Habari zenu wadau, leo nimeona bora Nishee na nyie hii kitu, najua wengi wetu tumekua na ndoto za kuja kuishi kwenye nyumba au makazi yariyo bora, Japo ndoto hizi zimekua zikikatishwa na gharama kubwa zitokanazo na ujenzi.

Nimefikira sana kwa nini sisi waafrica tunapofikiria ujenzi wa nyumba zetu tunawaza kutumia tu tofali katika ujenzi wa nyumba zetu, wakati wenzetu katika nchi zilizo endelea wanatumia matirio kama mabati, contena, mbao, mawe katika ujenzi wa nyumba zao.

Hii nyumba jamaa katumia used contena na katoa kitu kizuri sana

Mkuu hata AZAM TV kuna chanel inaitwa fine living wanaonyesha jinsi ya kujenga nyumba z bei rahisi sana, wanajenga kutumia conteiners, magari kama mabasi yaliyoharibika, nyumba za mbao nk nk
 
Habari zenu wadau, leo nimeona bora Nishee na nyie hii kitu, najua wengi wetu tumekua na ndoto za kuja kuishi kwenye nyumba au makazi yariyo bora, Japo ndoto hizi zimekua zikikatishwa na gharama kubwa zitokanazo na ujenzi.

Nimefikira sana kwa nini sisi waafrica tunapofikiria ujenzi wa nyumba zetu tunawaza kutumia tu tofali katika ujenzi wa nyumba zetu, wakati wenzetu katika nchi zilizo endelea wanatumia matirio kama mabati, contena, mbao, mawe katika ujenzi wa nyumba zao.

Hii nyumba jamaa katumia used contena na katoa kitu kizuri sana
Hayo makontena we unaona ni gharama nafuu? Jaribu kukokotoa BOQ uone balaa lake
 
Bongo mambo mengi sana. Unaweza kuta bei ya kununua container moja inazidi bei ya tofali na cement. Ukiongeza gharama za fundi maiko shughuli inapevuka. TRA nao hawakawii kuja kukupembua kwakukwambia umejenga kwa kutumia material ya gari ambayo haijasajiliwa. Anza na mbao tu halafu uniambie
Hapo. Ndio shida inapoanza
 
Asikwambie mtu hiyo nyumba ni gharama. Mm mwenyewe niliwekaga uzungu flani kwenye ujenzi naona kila mtu ananishangaa. Nyumba chumba kimoja cha kulala ila kuna chumba cha gym, jiko la kujinafasi, kabla ya kuingia napolala nikatia mbwembwe za sebule, library kali. Subutuuuu , ndugu kuja kutembea wanaanza mambo ya kizamani ukioa watoto watalala wapi ndugu zako siku wakikutembelea, mpangaji gani atapanga nyumba hii. Nikasema sisi ngozi nyeusi kwa nn tukijenga nyumba hatujifurahishi nafsi zetu bali tunawaza watoto, ndugu na kuipangisha.
 
Asikwambie mtu hiyo nyumba ni gharama. Mm mwenyewe niliwekaga uzungu flani kwenye ujenzi naona kila mtu ananishangaa. Nyumba chumba kimoja cha kulala ila kuna chumba cha gym, jiko la kujinafasi, kabla ya kuingia napolala nikatia mbwembwe za sebule, library kali. Subutuuuu , ndugu kuja kutembea wanaanza mambo ya kizamani ukioa watoto watalala wapi ndugu zako siku wakikutembelea, mpangaji gani atapanga nyumba hii. Nikasema sisi ngozi nyeusi kwa nn tukijenga nyumba hatujifurahishi nafsi zetu bali tunawaza watoto, ndugu na kuipangisha.
😂😂 waswahili wamezoea maisha yao ya kuishi kwenye vibanda vya mbavu za mbwa, ukijenga nyumba nzuri wanakushangaa.
 
Ukiwa kakola **** hotel inaitwa jensen ya ghorofa moja ni container tupu...sema ukiwa kwenye lile zoezi lazima chumba Cha jirani uwaumize kihisia
 
Usihangaike kujenga agiza nje utapokea kwa bei poa sana
 

Attachments

  • 1702790544164.png
    1702790544164.png
    73 KB · Views: 3
Usihangaike kujenga agiza nje utapokea kwa bei poa .
Nyumba kama hiyo ukiagiza haiwezi kuvuka milioni kumi ikiwa full
ingia albaba utaona kuna kampuni nyingi sana wanauza nyumba kama hizo unaagiza na wewe una fanya installation tu.
kwa Dunia ya sasa nchi za wenzetu hayo ni mambo ya kawaida sana
Kwa mfano nitatole mfano jiji moja ambalo nimewahi kutembelea pale Vancuva kuna nyumba mpaka na hotel nyingi za namna hiyo
 
Back
Top Bottom