Picha: Jux akwaa Scandal ya Ushoga

warumi

R I P
May 6, 2013
16,273
18,379
Huyu Kaka alikuaga mpole mwenyewe sijui shetani gani kampitia, Na si alikua anajiita Sukari ya warembo huyu, ndio maana siku hizi kila wakati wanagombana na V kwa sababu zisizokua na msingi kumbe mwenyewe jux yuko busy na boys Hana habari.

Mi Ndo maana wanaume Ma handsome siwataki kabisa, bora niwe na mwanaume mwenye sura kama harmonize lakini najua pesa zipo Ila sio hawa wanajifanya watanashati Mara sukari ya warembo kumbe mambo yao wanajua wenyewe.

Jux mwenyewe yuko busy anaongea kwenye video call na mwaume mwenzie, meno yote nje mxieew , halafu Vanessa akimpgia simu siku nzima hapokei kumbe mwenzie yuko busy na vitoto vya watu.

Hapa Ndo naona kwa nini akina k-lyn wanakimbilia kuolewa na waxed na sio hawa masharobaro ambao wangekua wanaibiana mabwana.


Ila Yule slay queen mashauzi kanichekesha, anachepuka na ng'ast kumbe ng'ast mwenyewe na yeye anatoka na sponsor wa slay queen , khaa hili jiji Lina joto bora mvua zianze

IMG_6713.JPG
IMG_6715.JPG
 
Huyu Kaka alikuaga mpole mwenyewe sijui shetani gani kampitia, Na si alikua anajiita Sukari ya warembo huyu, ndio maana siku hizi kila wakati wanagombana na V kwa sababu zisizokua na msingi kumbe mwenyewe jux yuko busy na boys Hana habari.

Mi Ndo maana wanaume Ma handsome siwataki kabisa, bora niwe na mwanaume mwenye sura kama harmonize lakini najua pesa zipo Ila sio hawa wanajifanya watanashati Mara sukari ya warembo kumbe mambo yao wanajua wenyewe.

Jux mwenyewe yuko busy anaongea kwenye video call na mwaume mwenzie, meno yote nje mxieew , halafu Vanessa akimpgia simu siku nzima hapokei kumbe mwenzie yuko busy na vitoto vya watu.

Hapa Ndo naona kwa nini akina k-lyn wanakimbilia kuolewa na waxed na sio hawa masharobaro ambao wangekua wanaibiana mabwana.


Ila Yule slay queen mashauzi kanichekesha, anachepuka na ng'ast kumbe ng'ast mwenyewe na yeye anatoka na sponsor wa slay queen , khaa hili jiji Lina joto bora mvua zianze

View attachment 1093994View attachment 1093995
Kwamba jux n analiwa mpunga au anakula mpunga story ndefu sijaisoma
 
Mkuu hivi unapata faida gani kuchafua brand za watu...fikiria ingekuwa wewe or ndugu yako anachafuliwa hivi ungejiskiaje
Mara nyingi fikra za watu kama hawa huishia kwenye kuwaza zile sifa anazopata mitandaoni. hajali athari anayopata muhusika. Na ukichunguza zaidi utakuta ma cyber bully wengi ni matokeo ya watoto ambao walikuwa bullied sana katika makuzi yao, waliokuwa katika mazingira duni mno ama wale ambao walitengwa sana utotoni na watoto wenzao. Hii attention anayopata mitandaoni inampa ile sense of importance ambayo aliitamani toka akiwa mdogo.
 
Mara nyingi fikra za watu kama hawa huishia kwenye kuwaza zile sifa anazopata mitandaoni. hajali athari anayopata muhusika. Na ukichunguza zaidi utakuta ma cyber bully wengi ni matokeo ya watoto ambao walikuwa bullied sana katika makuzi yao, waliokuwa katika mazingira duni mno ama wale ambao walitengwa sana utotoni na watoto wenzao. Hii attention anayopata mitandaoni inampa ile sense of importance ambayo aliitamani toka akiwa mdogo.

Umekosea sijawah Kuwa bullied shoga angu , mie umbea nimeanza kuwa nao Toka utotoni ndio maana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom