Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,535
- 25,833
Chongo twaita kengeza.Bora hilo hata gharama yake ni nafuu sana kuliko hilo la kuku.
Chongo twaita kengeza.Bora hilo hata gharama yake ni nafuu sana kuliko hilo la kuku.
Sindano imekuingiaaa naonaUwanja wetu wa ndege unauita banda la kuku?
Punguani wahed.
doh...inawezekana hzo gharama zinahusisha uwekaji wa mifumo yote..kama conveyor, elevators ..mifumo ya usalama n.k..tho bado wamepiga..as mradi mzima wa BRT (mwendo kasi) uligharimu sh. bilioni 280, embu fikiria barabara na vituo vyote vya mabasi..pamoja na miundombinu ya majitaka umeme n.k..lakini hilo banda peke yake limecost mara mbili na ushee ya mradi wa mwendokasi..ni wizi ulio wazi wazi
Bombadier zina matairi ya bajaji sembuse terminal kuwa kama banda la kuku?Acha kufananisha banda la kuku na uwanja wa taifa thamini mali yako hata kama ni ndogo
Punguani wahed maana yake ni nini?Uwanja wetu wa ndege unauita banda la kuku?
Punguani wahed.
Unatoa matusi mwezi mtukufu huu? kumbe ndio maana unakula kitimoto FaizaFoxyUwanja wetu wa ndege unauita banda la kuku?
Punguani wahed.
sasa mkuu kama uwanja wenyewe unshadhi kama chicken cage ulitamani aufananishe na nini?Uwanja wetu wa ndege unauita banda la kuku?
Punguani wahed.
We mama nomaUwanja wetu wa ndege unauita banda la kuku?
Punguani wahed.
Uwanja wetu wa ndege unauita banda la kuku?
Punguani wahed.
Ndo tatizo la kukaa tu nchini na kulalia mayai na kujifanya unajua. Tembea uone mabanda mengine ya kuku nchi za mbele.View attachment 523692 Linaitwa terminal 3, pesa za kujenga banda hili zingetosha kujenga viwanja 10 vya taifa, amazing.
View attachment 523693