Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Linaitwa terminal 3, pesa za kujenga banda hili zingetosha kujenga viwanja 10 vya taifa, amazing.
Kuwa mwelewa ili dude halistahili kujengwa kwa garama iyo ccm wamefisadi.Sasa tatizo liko wapi?
Kwa Kuku hawastahili heshima na malazi kiasi hicho au??
Umerudi ulipotea sanaUwanja wetu wa ndege unauita banda la kuku?
Punguani wahed.
Kwani katika mradi huu hawajaongeza runway ma karakana za ndege?!!!doh...inawezekana hzo gharama zinahusisha uwekaji wa mifumo yote..kama conveyor, elevators ..mifumo ya usalama n.k..tho bado wamepiga..as mradi mzima wa BRT (mwendo kasi) uligharimu sh. bilioni 280, embu fikiria barabara na vituo vyote vya mabasi..pamoja na miundombinu ya majitaka umeme n.k..lakini hilo banda peke yake limecost mara mbili na ushee ya mradi wa mwendokasi..ni wizi ulio wazi wazi
SIFAHAMU..Kwani katika mradi huu hawajaongeza runway ma karakana za ndege?!!!
JKIA=Jomo Kenyatta International Airport, au siyo?View attachment 523692 Linaitwa terminal 3, pesa za kujenga banda hili zingetosha kujenga viwanja 10 vya taifa, amazing.
View attachment 523693
mkuu habari.. uko kwenye neema usiwe mkaliUwanja wetu wa ndege unauita banda la kuku?
Punguani wahed.
View attachment 523692 Linaitwa terminal 3, pesa za kujenga banda hili zingetosha kujenga viwanja 10 vya taifa, amazing.
View attachment 523693
yan watu kama nyie mliokalia UMBEA mnaudhi sanah,, subiri liishe ndo uje na accusations zako za KIMBEAView attachment 523692 Linaitwa terminal 3, pesa za kujenga banda hili zingetosha kujenga viwanja 10 vya taifa, amazing.
View attachment 523693
Lile jumba la mtaa wa Ufipa ni mithili ya banda la nguruwe hadi leo hii. Au huoni?View attachment 523692 Linaitwa terminal 3, pesa za kujenga banda hili zingetosha kujenga viwanja 10 vya taifa, amazing.
[=full]523693[/ATTACH]
Lile jumba la mtaa wa Ufipa ni mithili ya banda la nguruwe hadi leo hii. Au huoni?
Hivi mama Wahedi upo kumbeUwanja wetu wa ndege unauita banda la kuku?
Punguani wahed.