Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
Hiyo glass ya maji haiko clear ina glucose kumpatia nguvu mheshimiwa afya yake bado mgogoro, jamani tumsaidieni huyu JK apumzike atibiwe vizuri WaTZ tumchague Dr.Slaa
Hiyo glass ya maji haiko clear ina glucose kumpatia nguvu mheshimiwa afya yake bado mgogoro, jamani tumsaidieni huyu JK apumzike atibiwe vizuri WaTZ tumchague Dr.Slaa
Hapana mkuu picha za kawaida kabisa hizoMfukunyuzi Sikuwezi mkuu
safi sana kwa picha zako za kifukunyuzi-fukunyuzi
Haingii kulipiza kisasi bali kuwatumikia watanzaniaKWANI dr slaa anaingia ikulu kulipiza kisasi jamani.......mtu kama huyo atakiwiw kupewa ridhaa y kuongoza nchiii.naona mfukunyuzi unawasaliti wenzako...kama umeweza kuona glucose inawekwa ukashindwa hata kuweka.............muhudumu mwaminifu wewe kwa CCM.HONGERA SANA.
Hiyo glass ya maji haiko clear ina glucose kumpatia nguvu mheshimiwa afya yake bado mgogoro, jamani tumsaidieni huyu JK apumzike atibiwe vizuri WaTZ tumchague Dr.Slaa
[/SIZE]
Huyu jamaa hapo juu njaa hizi zina mwisho ngoja Dr. Slaa aingie Ikulu...