master09
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 808
- 559
Alivaa kama walinzi wavaavyo......so alionekana ni party ya system ya walinzi ....Alikatizaje perimeter za usalama? ??
So many secrets in these fuckin system! !!
Hao waliomuuwa nda maplaner wa hiyo mission!! !!
N.b siyo lazima awe mlinzi wa barozi huyu jamaa alikuwa askari kabla ya kutimuliwa kwa kuhusika na mapinduzi ya rais kwahiyo anajua mambo ya ulinzi wa diplomatic meeting