Kumbo El Capitanol
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 286
- 235
Tunyooshe baba na bado .
Hahahahahahahaa!!!Aiseee umenkumbusha mbali sana!!!Hao jamaa wananikumbusha ile ishu ya wale jamaa walioibuka k'ndoni makaburini wakavamia baa iliyo karibu wakijifanya wamefufuka,watu wakatoka ndukii jamaa wakakusanya kila kilichoweza kubebeka wakapotea gizani!