Picha: Je ni kweli Julius Nyerere International Airport uko mchafu kiasi hiki?

even the early man the likes of zinjsthropus and others were well organized and clean. Ndio maana popobawa anaibukaga ghafla tu alipo na qufyra wabongo Kwa jazba hili wajifunze lakini wapi. Angalia tu comment za watu wanaomponda mag3 Taifa la ajab sana
 
Nguruvi3
Hua napenda post zako lakini sasa nadhani unaelemewa na Mahaba?

JKNI imejengwa na Wakandarasi wa ndani?

Je hakuna ramani kuonyesha kila sehemu itajengwaje?

CEO anajua wajibu wake? Tujenge Nchi kwa pamoja Mzee.
Mkuu hakuna mahali nimelaumu wakandarasi. Ukinisoma vizuri na naomba urudie nimeeleza uzembe wa management

Uchafu wa mazingira si suala la mkanadarasi haa siku moja.

Wala hakuna mahali niliposema ujenzi umekosewa. Nilichosema na nadhani ndicho ulichonielewa vibaya ni kuwa kuna uchafu uliokithiri.

Pamoja na hayo hata sehemu ya kubadilishia mtoto (baby changing station) akichafuka hakuna.
Si dude kubwa, ni kitu size ya kumlaza mtoto kinafungwa ukutani. Hakihitaji hata engineeer

Ni fundi mchundo tu anawelekezwa. Yaani ni kitu kidogo sana kuliko 'sink' la kunawia mikono

JKNI hawana, na wala hakigharimu hata dola 30. Ukishafunga baasi inaweza kutumika miaka hata 10 maana ni lastic inayosafishika

Angalia hapa chini utaelewa naiongelea nini

Baby Changing Station H-1669 - Uline
 
Mkuu hakuna mahali nimelaumu wakandarasi. Ukinisoma vizuri na naomba urudie nimeeleza uzembe wa management

Uchafu wa mazingira si suala la mkanadarasi haa siku moja.

Wala hakuna mahali niliposema ujenzi umekosewa. Nilichosema na nadhani ndicho ulichonielewa vibaya ni kuwa kuna uchafu uliokithiri.

Pamoja na hayo hata sehemu ya kubadilishia mtoto (baby changing station) akichafuka hakuna.
Si dude kubwa, ni kitu size ya kumlaza mtoto kinafungwa ukutani. Hakihitaji hata engineeer

Ni fundi mchundo tu anawelekezwa. Yaani ni kitu kidogo sana kuliko 'sink' la kunawia mikono

JKNI hawana, na wala hakigharimu hata dola 30. Ukishafunga baasi inaweza kutumika miaka hata 10 maana ni lastic inayosafishika

Angalia hapa chini utaelewa naiongelea nini

Baby Changing Station H-1669 - Uline
JNIA Terminal 2 kuna matatizo mengi sana kuanzia kwenye management na miundombinu (umeme,maji,AC),lile jengo limechoka sana hata kufanya ukarabati/upgrade baadhi ya vitu inakuwa ngumu sana,kwa sasa tusubiri tusubiri Terminal 3 ikifunguliwa
 
JNIA Terminal 2 kuna matatizo mengi sana kuanzia kwenye management na miundombinu (umeme,maji,AC),lile jengo limechoka sana hata kufanya ukarabati/upgrade baadhi ya vitu inakuwa ngumu sana,kwa sasa tusubiri tusubiri Terminal 3 ikifunguliwa
Na hapa ndipo kuna kosa kubwa.

Kwamba tunadhani upya wa jengo ndio usafi
Kitakachotokea ni kuhamisha utamaduni mbaya kutoka jengo la zamani kwenda jengo jipya

Ukumbi wa Karimjee una miaka mingi kuliko uhuru wetu.

JKNIA imejengwa miaka takribani 36.Linganisha Karimjee na JKNIA.

Supposedly utasema JKNIA inatumiwa na watu wengi kwa siku, wiki, mwezi na mwaka.
Usisahau watumiaji wanalipa kodi kila wanapokanyaga jengo lile kila saa na si mwezi au mwaka

Uchakavu si uchafu. Kuna vitu viwili hapa vya kufafanua

Uchakavu unazuilika kwa ukarabati wa mara kwa mara.

Hivi tiles za chooni kama 20 ambazo bei yake ni sawa na dola 100 pamoja na ufundi, vinashindikanaje kurepewa ikiwa mgeni mmoja tu analipa dola 75 kwa kukanyaga uwanja ule?

Hivi uchakavu ni tabia na utamaduni wetu mbaya wa kutojali ukarabati.

Ni utamaduni ule ule hadi barabara ibomoke yote ndipo tuwatafute Kajima.

Utashangaa Kajima walikarabati Morogoro road kwa zaidi ya miaka 10 na barabara ikabaki na ubora. Walipoondoka sijui kinaendelea nini

Usafi ni tabia tu isiyohusiana na ukarabati wala uchakavu.
Ukienda Tabora kwa wanyamwezi, utaona nyumba ya nyasi. Hebu angalia ukumbini uone palivyo safi.
Hawa wanaishi kwa dola 1 kwa siku katika nyumba za nyasi, lakini umasikini si sababu ya uchafu

Ndiyo yale yale ya Kajima kujenga Moro road na kupanda miti.
Kwasababu usafi si tabia yetu hakuna aliyepanda mti au kuzibua mfereji Kajima alipoondoka.

Huwezi kwenda choo kinanuka ukasema ni uchakavu wa Jengo.Ni uchafu tu na kukosa watu makini

Hakuna wafanyakazi wanaotekeleza majukumu yao.

Si mkuu wa kiwanja si wakuu wa idara wala nini
Hakuna anayeoona uchafu kwasababu hiyo ni tabia isipokuwa wenzetu waliotoka au wajao

JKNIA terminal 3 hautakuwa tofauti. Uwanja wa Taifa mpya waling'oa viti!!!
 
Hii ni hatari Airport inashindwa usafi hata na baadhi ya baa!kudadadeki?
Inasikitisha. Ukienda barabara ya Dar Arusha kabla ya Korogwe kuna mgahawa mmoja. Huo una vyoo safi kuliko JKNIA. Hivi kweli kuna utetezi wa aina yoyote JKNIA

Mtu mmoja tu akinunua tiketi na visa kwa wageni anaacha dola si chini ya 100.
Leo hata bomba la sh 15,000 sawa na dola 5 hawawezi kurepea.

Hivi kuna utetezi gani katika uchafu huu wa akili, vyoo na uwanja?

JKNIA ni aibu ya Taifa kabla ya kuona aibu nyingine mgeni anapokuja

Hakuna lolote ni laissez faire tu. Hivi hawa wakuu wa viwanja wanapita kuangalia kweli maeneo yao
Najiuliza huwa wanajisaidia wapi kiasi cha kutoona haya

Pale Departure ceiling board inaanguka na wote wanapita hao wakienda nje. Hakuna hata mmoja anayeoona tofauti ya JKNIA na huko alikokwenda

Kama kuna mahali watu wanatakiwa wasafishwe ni JKNIA. Hapa ni tatizo kubwa wala haijitaji microscope
 
Nyani Ngabu unamambo du! hii ndo iternanational airport yetu? na lundo la miaka ya uhuru ukichagizwa na utumbuaji majipu lakini bado hali iko vile? labda sasa ajitumbue mwenyewe ndo hali ibadilike. Choo cha aibu hiki hata kwangu siwezi kuwa na choo cha aina hii kisha nikasema ni international, hebu ona vilaka vilaka na mashimi hayo Nyani Ngabu umeniharibia weekend yangu kabisa siyo siri tena.
Akitumbua wewe utakuja hapa kulaumu tena tatizo sio viongozi ni mindset za wabongo hawapendi vitu vizuri
 
Teh teh teh teh yupo busy kutumbua na kusikiliza mapambio na masifa tele "magu oyeee Pogba oyeeeeee hureeeee!
Sasa hapa unamuingizaje raisi mpaka usafi wa vyoo haujioni kama una matatizo,tatizo watu wengi wa Dar ni wachafu na hawapendi kabisa usafi na wamezoea kubembelezwa bembelezwa kama metal kazi kufuga vitambi tu
 
Back
Top Bottom