Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Ushamtoa huyo nyoka?
Ushamtoa huyo nyoka?
...Ushamtoa huyo nyoka?
Ushamtoa huyo nyoka?
Kwa staili aliyo shika tonge la ugali ni kama alikuwa anasubiri KUPIGWA picha.Sababu ya kula ugali?
Kinachonishangaza, ni kwamba hao watu hakuwa na msaada ktk maisha yao yote,hadi leo anakula nao ugali kwa sifa huku wakiwa wachovu namna hii.Kweli wanasiasa wa kijamaa ni laana.Kawatumia wakiwa hivihivi,kafaidia wakiwa hivi hivi,katoka wakiwa hivi hivi na leo anawatumia wakiwa hivi hivi.
Ingekuwa Lowasa au Mbowe hapo wangeomba uma, kisu na kijiko. Machadema yanapenda uzungu hadi yanashangaa mila zetu za kawaida kabisa.
Huyu bw pamoja na mapungufu lakini pia alikuwa mtu wa watu.
To a point , yes.
Mkapa, Ally Mwinyi, Warioba, Salim Salim, Lowassa and that ilk would never mix it up with the commoners.
Kuna msiba mmoja alikuja Lowassa halafu wakati wa kula yeye peke yake akawa hali chakula. Nikawa najiuliza yani hamuamini hata mzee mfiwa rafiki yake kumtengea chakula hata matunda?