Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Hiyo picha ya mwisho huyo mama mbona kama hana nguo?.....ni mgonjwa au mgoni maana hilo kundi lote la nini sasa?....samahani lakini
Hiyo ni kutokana na mabomu Mbagala.Amevaa kitenge Mkuu. Labda hapo malaria imepanda kichwani, huruma sana