Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kalalahapo kafa au
kijana acha mzaha mimi nimeuliza kwa nia njema ili nielewe siunajua visimu vyetu vya toch?Kalala
ndio anafufuka mkuu..hapo kafa au
Hiyo ngoma hapo inaitwa 6 face siyo three face tena, shoti yake unakatika katika viungo vyote vya mwili!kijana acha mzaha mimi nimeuliza kwa nia njema ili nielewe siunajua visimu vyetu vya toch?
duuuh basi basii tuishie hapo!!Hiyo ngoma hapo inaitwa 6 face siyo three face tena, shoti yake unakatika katika viungo vyote vya mwili!
Huyo wakati wa kumtoa hapo atakuwa ananukia harufu flani ya nyama mbuzi choma
Hicho kituo tangu tukio hilo panaitwa kwa "Fundi umeme"Kuna mmoja alinasa kwenye transfoma ya bugando hosp
Alikuwa mweusi kama mkaa
Na dumu lake
hyo harufu ya mbuzi atakua ndafu nnHiyo ngoma hapo inaitwa 6 face siyo three face tena, shoti yake unakatika katika viungo vyote vya mwili!
Huyo wakati wa kumtoa hapo atakuwa ananukia harufu flani ya nyama mbuzi choma
kwa faida yako mkuu..Hiyo ngoma hapo inaitwa 6 face siyo three face tena, shoti yake unakatika katika viungo vyote vya mwili!
Huyo wakati wa kumtoa hapo atakuwa ananukia harufu flani ya nyama mbuzi choma
Mkuu huyo kapoteza maisha kwa shot ya umemehapo kafa au
Mkumbushe Jambazi kuwa inaishiaga 3 phase. Na rangi zake ni njano/kijani, bluu na nyekundu.kwa faida yako mkuu..
sio FACE ni PHASE