Hata kama mtoto wako unamuachia Dada wa kazi unakosea sababu kama wewe unashindwa kumjali mwanao atawezaje kumjali Dada wa kazi wakati sio wakeNimkute dada wa kazi anafanya hivi, tunagawana majengo ya serikali
Shetani ni wewe na mimi na yule hatoki popote. Heri mtoto kapata maziwa asilia kuliko ya kopo.True ndo tuendako,shetani kafaulu kuharibu maadili ya utu asili ya binadamu,kwa maana tutakuwa ni maroboti sio watu asili.Watu watatafuta neno Lkn hawataliona,
Kama hadi umeweza kuwa member humu halafu umeshindwa kujua sababu za Mimi kumwachia dada wa kazi mwanangu inakuwa ngumu Sana Mimi kukuelewesha ukaelewa, nikubaliane na wewe kwamba kweli simjali mwananguHata kama mtoto wako unamuachia Dada wa kazi unakosea sababu kama wewe unashindwa kumjali mwanao atawezaje kumjali Dada wa kazi wakati sio wake
Slim5, iangalie vizuri hiyo picha ni ya kuchora. Ila ujumbe umefika sababu kwa wenzetu, watoto wanakuwa na muda mrefu na wanyama kuliko wazazi. Kizazi cha dot.com.Yaani Mbwa ana akili zaidi ya huyo dada, mana anacare watoto wake, mpk na mtoto wa binadamu!