Picha iliyoamsha hisia "John P. Magufuli" Vs "John L. Thornton".

53b69271b49a3ecc3e3b264f965b8d98.jpg

Raisi John Magufuli ameoneka kummudu sana Huyu mzungu, picha inafafanua Uchungu na Confedence ya juu mno..

Kama ni Caption ningesema hivi.

JPM : You must pay our money , no way , Ok ? .

JLT : Yes Mr. President
No my friend. Your caption is far from reality.JLT and his team behind are not a 'yes sir' type! Sorry for you and all ccm zealots!
 
Kweli aliesema 'a picture is worth a thousand words hakukosea'

Wengine tunaona vingine kabisa

Tunaona mzungu akimtazama mtu usoni na kumuuliza
nani mwizi? na mswahili akilazimisha urafiki na kujifanya yashakwisha
Wewe na Tundu Lisu aliyetutisha kwamba tutashitakiwa akili zenu zinafanana. Mmekalia kujikomba kwa wazungu tu.
 
Huyu Prof sio mjinga kiasi cha kukubali kiboya boya. Yupo ugenini, so lazima awe mpole na hapo alikuwa haelewi jamaa amewaambia nini waandishi na wapigapicha kwa sababu kaongea nao kiswahili
 
Kweli aliesema 'a picture is worth a thousand words hakukosea'

Wengine tunaona vingine kabisa

Tunaona mzungu akimtazama mtu usoni na kumuuliza
nani mwizi? na mswahili akilazimisha urafiki na kujifanya yashakwisha
Tawile
 
Angalia usije ukaletewa sabuni na nduguzo ukiwa JELANI......:):):)
Hapana mkuu.....ili kuonesha uzalendo aoneshe uwazi kwa alivyovisimamia yeye....Kila alichokisimamia kimejaa wizi, ufisadi na uongo na undugu.....TUTAKAAJE KIMYA SASA
 
Hapa mmoja ni mjanja sana, katupiga kwa miaka mingi kwa ridhaa yetu wenyewe, na mwingine ndo kwanza kashtuka juzi, kaona amekuwa akipigwa sana, lkn kwa hesabu zake za kukokotoa kiwango kile cha makanitrillion ktk ndoto ni kikubwa mno kiasi cha kuwamilikisha wadanganyika ka.noa kamoja kamoja, badala ya ajira.
 
Back
Top Bottom