Picha iliyo waliza waandishi wa habari na wote waliyo iyona

Mahmood

JF-Expert Member
Feb 9, 2008
7,909
2,477

Picha ya mtoto aliyo uliwa na wanajeshi wa-Israel, Mtazamo wake na tabasamu inayo toka katika uso wa maiti ya mtoto huyu inasikitisha!



aedb87ba83.bmp


Mungu Amlaze mahala pema.

Amin.
 
When did they kill the kid? Kila kwenye vita dhambi kama hizi huwa zinashamiri sana. Sio askari wote wanafurahia kuua watoto kama hawa. Lakini wanatii amri na kufanya wanayofanya na matokeo yake ndiyo haya. Shame on them!
Nashangaa sisi tumeanza kupenda penda vita pia. Tunavitafuta kwa visingizio vya udini.Mmmmmh!
 
it is just sad, that is when one questions God's existence
 
Picha ya mtoto aliyo uliwa na wanajeshi wa-Israel, Mtazamo wake na tabasamu inayo toka katika uso wa maiti ya mtoto huyu inasikitisha!



aedb87ba83.bmp

Mungu Amlaze mahala pema.


Amin.

Mkuu Picha za Waafrika wenzetu wa Darful na Sudan ya Kusini vipi hauna utuwekee nazo? ama Haujazipata?
 
When did they kill the kid? Kila kwenye vita dhambi kama hizi huwa zinashamiri sana. Sio askari wote wanafurahia kuua watoto kama hawa. Lakini wanatii amri na kufanya wanayofanya na matokeo yake ndiyo haya. Shame on them!
Nashangaa sisi tumeanza kupenda penda vita pia. Tunavitafuta kwa visingizio vya udini.Mmmmmh!

They have killed this kid just few days ago.
 
Wayahudi walimsulubu yesu pia!hivi nitawezaje kuwatambua pale dia?kwa kuwaona tuu huenda nikachukua hatua hapo hapo!
 
Ni kama anasema "mimi sina nguvu, siwezi kuwarudishia acha nikapumzike kwa baba"
 

Picha ya mtoto aliyo uliwa na wanajeshi wa-Israel, Mtazamo wake na tabasamu inayo toka katika uso wa maiti ya mtoto huyu inasikitisha!



aedb87ba83.bmp


Mungu Amlaze mahala pema.

Amin.

the Kid is so happy kwani hana dhambi yoyote na dhahiri mungu yuko naye,wala usiogope kifo kwani kila mwanadamu ataonja mauti ila tu kwa njia mbalimbali...Kapumzike Malaika wa mungu hata sisi tunakuja huko katuandalie mahali pazuri tufikapo uwe mwenyeji wetu...
 
hapa ni swala la ubinadamu, na si swala la mwafrika au mwarabu ndugu yangu. ndiyo nyinyi mnaoendekeza udini na ukabila ndani ya CHADEMA mpaka Zitto kagundua mbinu zenu chafu. Huna hata utu!!!!!!!!!!!
 
Hizi picha zingine za watoto walio uliwa na wanajeshi wa Israel

pic-733468.jpg

Mtoto kafukiwa chini ya nyumba yao baada ya nyumba hiyo kupigwa kwa mizinga ya Israel

Image+%3D+Mother_Dead_Son_sm.jpg

Mtoto huyu alipigwa risasi wakati alipokuwa akicheza nje ya nyumba yao

large_Dead-Gaza-Children-Dec29-08-MIDEAST_ISRAEL_PALEST_Meye.jpg

Kundi la watoto walio uliwa na wanajeshi wa Israel


children+killed+in+gaza.bmp


images


gaza-doctor-abu-al-aish_2009-01-16.jpg


gaza_5_resize.jpg


Beach_death_a.jpg


DeadGazagirlcloseday14.JPG


1288871112-8531337ca40fdb94a332136331d0ea42_0_rs.jpg


IsraelsVictimsInPalestine2.jpg


bambino4.jpg




israelkillingchildren.jpg


kejam3.jpg


shootingchildren.jpg


JER1967-185034-pih.full.jpg


<hr id="imageRecircHorizontalRule" align="center">
57016096.jpg


kejam6.jpg


naderian20100816230720403.jpg


deadchildrenstrategy.jpg


JER212_PALESTINIANS-ISRAEL-_0107_11.full.JPG


images_News_2008_04_26_iof-child_300_0.jpg


Gaza_War_2009_2.jpg


xinsrc_4120106061040984145214.jpg


gaza4-11-thumb.jpg
 
Hizi picha zingine za watoto walio uliwa na wanajeshi wa Israel

pic-733468.jpg

Mtoto kafukiwa chini ya nyumba yao baada ya nyumba hiyo kupigwa kwa mizinga ya Israel

Image+%3D+Mother_Dead_Son_sm.jpg

Mtoto huyu alipigwa risasi wakati alipokuwa akicheza nje ya nyumba yao

large_Dead-Gaza-Children-Dec29-08-MIDEAST_ISRAEL_PALEST_Meye.jpg

Kundi la watoto walio uliwa na wanajeshi wa Israel


children+killed+in+gaza.bmp


images


gaza-doctor-abu-al-aish_2009-01-16.jpg


gaza_5_resize.jpg


Beach_death_a.jpg


DeadGazagirlcloseday14.JPG


1288871112-8531337ca40fdb94a332136331d0ea42_0_rs.jpg


IsraelsVictimsInPalestine2.jpg


bambino4.jpg




israelkillingchildren.jpg


kejam3.jpg


shootingchildren.jpg


JER1967-185034-pih.full.jpg


<hr id="imageRecircHorizontalRule" align="center">
57016096.jpg


kejam6.jpg


naderian20100816230720403.jpg


deadchildrenstrategy.jpg


JER212_PALESTINIANS-ISRAEL-_0107_11.full.JPG


images_News_2008_04_26_iof-child_300_0.jpg


Gaza_War_2009_2.jpg


xinsrc_4120106061040984145214.jpg


gaza4-11-thumb.jpg
inasikitisha
 
Heartless beasts, siku yao inakuja, Mungu atawahukumu na wao kwa kuwaua watoto na watu wasio na hatia wa Kipalestina; kwani wao hawana haki ya kuishi dunia hii? Pain that will never go....God please intervene on their behalf maana America and its allies wanawapa sana kichwa hao waisrael....
 
Back
Top Bottom