Cant resist the tears,..av never seen this..what kem into my mind was if hawa wanaoua have families at home.,r they humans o virobot?:redfaces:........ila njia ni moja,.Mungu atusaidie.
Kwa kweli inasikitisha na inauma sana watu wenyewe kwa wenyewe tuogopane haipendezi hata kidogo ila puazitu zote zimeinamia chini kwa hiyo wtu wute tutauonja umauti siku yetu ikifika na hukumu ipo hapa hapa duniani mungu ailaze roho ya marehemu amina
Hao wanajeshi walimtarget huyo mtoto ama alikuwa caught up kwenye fighting -collateral damage-? Vile vile tusisahau kuwa Hamas and the likes wanapenda kutumia watoto na wanawake kama human shield then afterwards wanawaparade mbele ya Media ili wapate sympathy.same here......huyu mtoto alikosa nini mpaka wakaamua kumuua....kweli inahuzunisha sana
Jesus christ inasikitisha sana
Dawa ni kutowachokoza, ukijaribu vita havina macho vina uwa mpaka kuku-be care! Unajuwa majamaa yna ubavu kuliko wewe unalichokoza unategemea nini. Ni kipigo mpaka mpaka utubu!
Dawa ni kutowachokoza, ukijaribu vita havina macho vina uwa mpaka kuku-be care! Unajuwa majamaa yna ubavu kuliko wewe unalichokoza unategemea nini. Ni kipigo mpaka mpaka utubu!
Hizi picha zingine za watoto walio uliwa na wanajeshi wa Israel
Mtoto kafukiwa chini ya nyumba yao baada ya nyumba hiyo kupigwa kwa mizinga ya Israel
Mtoto huyu alipigwa risasi wakati alipokuwa akicheza nje ya nyumba yao
Kundi la watoto walio uliwa na wanajeshi wa Israel
<HR id=imageRecircHorizontalRule align=center>