Picha iliyo waliza waandishi wa habari na wote waliyo iyona

Yaelekea hawa waisrael wana strategy ya kukifuta kabisa kizazi cha wapalestina. Sielewi kwa nini wanauwa watoto kiasi hiki. Kuna huyo askari kwenye moja ya hizo picha ameshika bunduki anamlenga mtoto hivi kweli ubinadamu wa aina gani huu?? Imeniuma sana malaika wa mungu wanauwawa kama panzi?? Duh! mbaya sana!
 
Wakifa wapalestina dunia huwa inalalamika sana!mbona waisraeli wanauwawa sana na wapalestina kwa mabomu ya kujitoa mhanga,na maguruneti!hiyo huwa haisikitishi na kuumiza roho za wapenda amani?mkuki kwa nguruwe,kwa binadamu mchungu!hivyo ni vita na vita havina macho!!
 
kama tulivyoungana pamoja kulaani mauaji ya soweto tuendelee kupinga na kulaani mauaji yoyote ya watoto wasiokuwa na hatia mahali popote duniani.
inasikitisha sana.
 
So sad. But lets not forget our own backyrds at "mwananyamala hospitals, and other places just for lack of proper medical care people are dying everyday'
 
one fellow has suggested that human beings are blind and deaf, and that we are being manipulated by evil forces without knowing it. if we looked deeply within ourselves, we would never think of killing anyone who does not agree with us. we would seek dialogue first. but then violence is our legacy, we are sons and daughters of the ANNUNNAKI, they were our bloodthirsty, violent progenitors.
 
kama tulivyoungana pamoja kulaani mauaji ya soweto tuendelee kupinga na kulaani mauaji yoyote ya watoto wasiokuwa na hatia mahali popote duniani.
inasikitisha sana.

Ama kweli umenena maneno ya kikubwa sana.

Kama mimi Raisi wa TZ ningekupa uwaziri bila kuchelewa.
 
Yaelekea hawa waisrael wana strategy ya kukifuta kabisa kizazi cha wapalestina. Sielewi kwa nini wanauwa watoto kiasi hiki. Kuna huyo askari kwenye moja ya hizo picha ameshika bunduki anamlenga mtoto hivi kweli ubinadamu wa aina gani huu?? Imeniuma sana malaika wa mungu wanauwawa kama panzi?? Duh! mbaya sana!

Maneno yako ni kweli mkuu.
 
Kwa mtu yeyote ambaye ni mzazi na ana watoto wake nyumbani...hiz sio picha za kuangalia. Yaani unapovuta taswira za watoto hawa halafu ukawakumbuka wanao...inaumiza sana. Sijui kwa nini hii dunia bado inaendelea na vita na kuwacha watoto wasio na hatia kama hawa kupoteza maisha yao...Inaumiza sana.

RIP to all innocent angels!
 
Ni kweli Sbilingi,hapa ni ubinadam na sio itikadi na udini.Tatizo la watu wengine uwezo wa kufikiria itikadi sio kila kitu ,jamani utu na ubinadam na ustaarabu muhimu sana.

Tunakoelekea sijui itakwaje? Maana kila hoja lazima mtu aingize chama mara dini mara kabila duh! Mpaka mtu akitaka kukata tonge au kupata kinywaji itabidi azungumzie mambo hayoo! Jamani tujitahidi kuchangia kuendana na muktadha wa habari au hoja husika,

Si kila ya kanisani, msikitini au chamani yanapaswa kupenyezwa katika kila hoja, tujifunze na tusiishi kwa ubishani usiotujenga.

Iwapo hoja aghalabu inahusu ''maji na faida zake'' basi tujaribu kuchangia yalo yanayokidhi na kuendana, isije mtu akaja zungumzia moto ndani ya hoja hiyo na ikiwa hivyo basi aoneshe uhusiano wa karibu, au sivyo jamani? Hakuna ajuaye sana au vitu vyote bali sie yumkini tunajifunza.
 
Kwa mtu yeyote ambaye ni mzazi na ana watoto wake nyumbani...hiz sio picha za kuangalia. Yaani unapovuta taswira za watoto hawa halafu ukawakumbuka wanao...inaumiza sana. Sijui kwa nini hii dunia bado inaendelea na vita na kuwacha watoto wasio na hatia kama hawa kupoteza maisha yao...Inaumiza sana.

RIP to all innocent angels!

Inaumiza sana
 
Naamini haki ya watoto hawa italipwa kwani hawana makosa yoyote. Mwenyezi waongezee nguvu, wazazi waliopoteza watoto wao kwenye mazingira magumu kama haya duniani kote Amin.
 
So sad. But lets not forget our own backyrds at "mwananyamala hospitals, and other places just for lack of proper medical care people are dying everyday'

Usiwalaumu mwananyamala... nenda ck moja kaaangalie jinsi wafanyakazi wa pale wanavyozidiwa na wgonjwa... na hawana msaada wowote wa maaana toka serikalini...!!:teeth:
 
Cant resist the tears,..av never seen this..what kem into my mind was if hawa wanaoua have families at home.,r they humans o virobot?:redfaces:........ila njia ni moja,.Mungu atusaidie.
 
Back
Top Bottom