Picha iliyo nihuzunisha mtoto wa ki-Iraq amempoteza mama yake ameamuwa kuchora picha

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,299
33,082
994067_241469622685849_548805092_n.jpg


PICHA ILIYO NIHUZUNISHA MTOTO WA KI-IRAQ AMEMPOTEZA MAMA YAKE AMEAMUWA KUCHORA PICHA YA MAMA AMELALA MAMA YAKE AMEMKUMBATIA UNASEMAJE KUHUSU HII PICHA...........
 
994067_241469622685849_548805092_n.jpg


PICHA ILIYO NIHUZUNISHA MTOTO WA KI-IRAQ AMEMPOTEZA MAMA YAKE AMEAMUWA KUCHORA PICHA YA MAMA AMELALA MAMA YAKE AMEMKUMBATIA UNASEMAJE KUHUSU HII PICHA...........

Heartbreaking...lakini kwa kweli huyo motto ni mdogo sana kuweza kuchora picha ya mwanamke aliyeavaa hijab! Photoshop hii..
 
Na mie nakumbuka alishapost. Ama jf inarudisha vitu kwa kubadili tarehe? Manake jana nimeona post ya mtu imeandikwa 1970

kwani kosa hapo ni nini? kurudiwa? Mimi kwa ujumbe huu mbona sioni shida ukirudiwa?
Kama nimepata ujumbe wenyewe ni kwamba wale walivyonavyo wawakumbuke wasivyonavyo..period.. ujumbe huu wachungaji na masheikh nafikiri wanaurudia mara nyingi sana na bado wataendelea.
Asante mtoa mada 'msg delivered'
 
994067_241469622685849_548805092_n.jpg


PICHA ILIYO NIHUZUNISHA MTOTO WA KI-IRAQ AMEMPOTEZA MAMA YAKE AMEAMUWA KUCHORA PICHA YA MAMA AMELALA MAMA YAKE AMEMKUMBATIA UNASEMAJE KUHUSU HII PICHA...........

huyo mama yake alimpoteza katika tukio gani, vita ama?
 
very sad, yaani hako ni kagaidi katarajiwa, huwezi jua rohoni mwake kuna msamaha kwa walio muua mama yake
 
Back
Top Bottom