Picha: Ifahamu North Korea hakika kwa picha hizi utabaki kinywa wazi

Sema Google yenu mda mwingine zinawadanganya Leo hii China akimuwekea vikwazo Korea kaskazin ndo utajua yule jamaa hajiwezi mpaka sasa hamna jeshi maskini kama la korea kaskazin kwa nchi za ukanda huo ukitaka kujua hilo angalia BBC Leo uone Kim katoa kauli gan eti anataka jeshi lake liwe kama LA Marekani hapo bado unasema anauwezo au source mnasoma kutoka kwenye gazet LA KIU
Acha ujinga ww unaangalia BBC wakat unajua wale ni wazee wa propaganda kudanganya ukwel kuhusu n.Korea ila mambo anayofanya ndiyo utajua yupo vizur
 
Wanaopata ni ma generals tuu. Eti waone na kuchuja vitu kwanza ili waone kipi kinafaa kwa wananchi ndipo waandae uchambuzi wao na kuwapatia wananchi. Ila kwa ujumla wananchi hawana internet.
Hii mkuu umeitoa wapi? Vyanzo vyako vya taarifa hii
 
Acha ujinga ww unaangalia BBC wakat unajua wale ni wazee wa propaganda kudanganya ukwel kuhusu n.Korea ila mambo anayofanya ndiyo utajua yupo vizur
Naunga mkono kauli yako mkuu.. Unajua ni vyema kuwa na tabia ya kufuatilia vyanzo tofauti vya taarifa kabla ya kuamua kuamini jambo flani. Mathalani mtu ambae hajawahi fika Bongo akiangalia bbc ama cnn atajua sehemu ya kishenzi sana… lakini hapa watu wanakula bata balaa.. Pia ukiangalia bbc/cnn utadhani miji kama joburg ama rio de Janeiro ni valangati tupu hapakaliki ..lakini ukifika hiyo miji watu wanakula ambiansi balaa..
 
maisha wanaoishi hawa ngedere hamna tofauti na maisha tunayoishi watz....wanalazimishwa kufurahi, wanalazimishwa kutabasamu, wanalazimishwa kupenda kila kitu, mioyo yao imejaa simanzi na vifungo, wako utumwani. nafikiri marekani akiwashambulia pengine tamaduni zingine zitaingia ili pengine wawe huru. wanapata shida sana sana. na tz iko hivyohivyo pamoja na kwamba hatujawafikia wao, lakini watz wamejaa majonzi, huzuni, wamefumbwa midomo, wanalazimishwa kuwapenda watu etc..ajabu yake ni bashite tu na babake ndo wanawalazimisha watz haya yote. kuna siku Mungu atashuka kuokoa watu wake toka mikononi mwa hawa watu wawili.
 
War-Ning: N. Korea says it has right to shoot down US warplanes

Published on 26 Sep 2017North Korea’s FM says Donald Trump has declared war on Pyongyang and warned of counter-measures. This comes after the US president’s inflammatory comments about the North Korean leader on Twitter. An expert on the region Simone Chun believes that a peace initiative proposed by China and Russia could resolve the crisis – if the US is willing to take the first step.
 

Attachments

  • War-Ning__N._Korea_says_it_has_right_to_shoot_down_US_warplanes.3gp
    5.8 MB · Views: 31
Sasa ukisoma propaganda za marekani na nchi za ulaya juu ya NK unaweza kudhani ni nchi masikini zaidi ya TZ. Wanaiandika kwa mabaya tu, yaani ukiwauliza wa US ( serikali )kwamba kati ya Pyongyang na Longido wapi kuzuri watakwambia Longido.
 
Hii mkuu umeitoa wapi? Vyanzo vyako vya taarifa hii
Ukiwa na akili za kijamaa ni ngumu sana kumaliza mjadala. Pengine ungejiuliza kwanini nchi za kijamaa passport ni shida?Kwanini nyumba nzuri ni za wafanyakazi wa umma tuu?Na hao wafanyakazi wa umma lazima wawe na vyeo?Kwanini clubs nyingi zina mahusiano na watu wa usalama, wastaafu wa nyuo? Ktk ujamaa kwanini siku ya mgeni lazima nyumba isafishwe sana?Barabara zibadilishwe na kupitishwa grader? Kwanini barabara inafanyiwa usafi siku kiongozi anakuja,wakati mwaka mzima sio wagonjwa,sio mazao ya kiuchumi yanayoleta ya kulisha makupe viongozi ,sio nini havipiti? Nchi ya kijamaa ni rais gani hapati vinono vya nchi?
 
wako bomba sana kujitegemea raha. hivi tz tunatengeneza nn kama njiti zinatoka China.?
 
wako bomba sana kujitegemea raha. hivi tz tunatengeneza nn kama njiti zinatoka China.?
 
Ukiwa na akili za kijamaa ni ngumu sana kumaliza mjadala. Pengine ungejiuliza kwanini nchi za kijamaa passport ni shida?Kwanini nyumba nzuri ni za wafanyakazi wa umma tuu?Na hao wafanyakazi wa umma lazima wawe na vyeo?Kwanini clubs nyingi zina mahusiano na watu wa usalama, wastaafu wa nyuo? Ktk ujamaa kwanini siku ya mgeni lazima nyumba isafishwe sana?Barabara zibadilishwe na kupitishwa grader? Kwanini barabara inafanyiwa usafi siku kiongozi anakuja,wakati mwaka mzima sio wagonjwa,sio mazao ya kiuchumi yanayoleta ya kulisha makupe viongozi ,sio nini havipiti? Nchi ya kijamaa ni rais gani hapati vinono vya nchi?
Hapana lilikuwa swali lenye kutaka ufahamu zaidi naona umeanza moja kwa moja na kuniweka kwenye kundi flan sio mbaya.. Aina ya ujamaa ulioufafanua hapo nadhani ni ule uliokulia nao. Kuna ujamaa wa kisasa sana sio ulionao kichwani wa kantalamba.. Embu jaribu kutumia vyanzo vyako vya taarifa kuangalia ujamaa kwenye nchi hizi.. China.. Denmark.. Finland.. Sweden.. Norway.. Netherlands… Ireland n.k.. Angalia sera na mifumo yao ya uchumi… hakuna kupaka rangi huko wala kipitisha greda..
 
Sasa ukisoma propaganda za marekani na nchi za ulaya juu ya NK unaweza kudhani ni nchi masikini zaidi ya TZ. Wanaiandika kwa mabaya tu, yaani ukiwauliza wa US ( serikali )kwamba kati ya Pyongyang na Longido wapi kuzuri watakwambia Longido.
Acheni maeezo yasiyo na mchango ktk ukweli. Umasikini mnauwangaliaje nyie wajamaa. Kuwa na mali?Angalia Tz na kongo?Kuwa na hela?Angalia watu wanaoishi mjini wanavyoteseka na kila hela inayopatikana haitoshi kusukuma hata siku. Angalia wafanyakazi wa maofisi na mwisho wa wengi? Kwa taarifa yako ukienda maeneo ya singida na mikoa mingine unaweza kuta kijiji kina utapiamlo ila wana mshamba makubwa,ng`ombe na kila kitu.Ila wanpewa msaada na mtu asiye na hivyo vitu.priorities za watu zisifreeze akili zenu.Kuna watu wana nyuba nzuri ila hazisemi ukweli kuhusu umasikini ndani yake. Hao jamaa wamekosa kujiamini km wajamaa wengine,sasa wanataka kununua kujiaminisha kwa gharama yoyote.Na kujiaminisha kwao ni kuchokoza wale wenye maisha ya mfano.Ni tabia za masikini hata mitaani, huwa wanatumia sana nguvu kujesnga statement mara wanapopota kitu. hayo yote uliyolist yamefanyika vipi commercially duniani, au ni ya show off tuu km ilivyo sample ztu za sido,camatec,veta na wengine?
 
Hatuwezi pata maendeleo kwa kumpiga risasi Lissu na kutafuta sifa za kupendwa na wananchi!!
 
Aiseee umesahau kuwa viongoz wao ni wazalendo na ni kosa kujilimbikizia Mali, ni kosa kuweka maslahi binafsi mbele wao kwao maslahi ya Taifa kwanza , na wao wana mfumo wa elimu wa kwao kulingana na mazingira ya Taifa lao.
Msimamo wa North Korea dhidi ya marekani ni jambo zuri kabisa.
Ila sasa jambo nisilolopenda kwa North Korea ni aina ya siasa zao za kikomunist. Mfumo huu ni wa kishetani haufai.
 
Hugo MTU mweusi anaitwa Denis Rodman aliyekuwa mchezaji basket maarufu wa kimarekani cjui Alifikaje huko na kufanya nn anajua mwenyewe...
Rodman ni Rafiki sana wa kiduku kama hujui kiduku alisomea marekani na tangu anasoma huko alimpenda sana rodman, rodman hupendwa na watu wengi kutokana na vituko vyake huchesha rejea enzi za rais Clinton alivyompenda.
 
Hapana lilikuwa swali lenye kutaka ufahamu zaidi naona umeanza moja kwa moja na kuniweka kwenye kundi flan sio mbaya.. Aina ya ujamaa ulioufafanua hapo nadhani ni ule uliokulia nao. Kuna ujamaa wa kisasa sana sio ulionao kichwani wa kantalamba.. Embu jaribu kutumia vyanzo vyako vya taarifa kuangalia ujamaa kwenye nchi hizi.. China.. Denmark.. Finland.. Sweden.. Norway.. Netherlands… Ireland n.k.. Angalia sera na mifumo yao ya uchumi… hakuna kupaka rangi huko wala kipitisha greda..
Utawafahamu tu kwa matendoyao... Hao wote ni mabepari. Tuuogope ujamaa/ukoministi
 
Back
Top Bottom