Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Km vile umejitahidi kwa uwezo wako. Raia wa nchi nyingi huwa wanasafiri kwa issue nyingine, ila sio njaa.Na ktk wanaokwenda kuna wengi wanarudi na kwenda. Ila North Korea hata yale mabomu yakiondoka wakiambia nendeni south, kelele za ukaburu/ubeberu zitaisha ghafla km zetu.Itabidi south waanza pambana na washamba, ktk kila kitu ktk TV, ktk magari watu wanabaka wanawake kwa kuwaona ktk nguo za mjini, mashuleni wanafunzi wataanza kutana na walimu wagumu na wenye mastory ya kili ndogo km yule prof wa makinikia. NI shiida.Kipindi nina miguu mirefu nilikaa 8 days kamji fulani kanaitwa Songjin, pako bomba tu, huwezi kufananisha na Dodoma! Wale jamaa wana uzalendo sana. Yes! Woga pia upo ila c kama wanavyochafuliwa na vyombo vya habari vya Magharibi! Suala la kutorokea SN sioni ka ni issue sana, mbona hata Ethiopia, hata Tz watu wanazamia South Africa wakidai life hapa ni gumu?
NK pako poa tu pamoja na changamoto mingi!!!
Sent using Jamii Forums mobile app