Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,207
- 128,007
Wewe mataga umepewa?Wenzio akina Halima James Mdee wameshapewa bwashee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mataga umepewa?Wenzio akina Halima James Mdee wameshapewa bwashee!
Mbona wanasafirishwa kutoka Mwanza kwenda Muhimbili!Ila ni sawa wagonjwa kusafirishwa kutoka mwanza kwenda kuishi chato?
Hata wewe bwashee nilishakukatia utaikuta hapo kwa Makene!Wewe mataga umepewa?
Wewe mataga hata tablet unaenda kupanga mstari Lumumba uandikwe jina ndiyo uchukue sembuse bima ya afya?Hata wewe bwashee nilishakukatia utaikuta hapo kwa Makene!
Inawezekana nyie wanachama wa CCM mmefanya Chato imekuwa Maka hata wa Dar es Salaam wataacha Muhimbili wakatibiwe huko maana ikishindikana kupona watafukizwa mpaka wapone.Niache kwenda Bugando nifunge safari kwenda CHATO?
Kupanga ni kuchagua bwashee.
Bagamoyo kuna bandari ya wachina.
Bado Chato international stadium!Bado Chato University College Of Healthy And Allied Science (CUCHAS)
Bado inakuja Chato international stedium!Ninaamini hivyo mkuu,
Hatuwezi kuwa na miji michache ambapo watu wanajazana na kuzaliwa kila siku.
Tena kama angekuwa na mda zaidi natumaini angefanya mazuri zaidi.
Kwa kweli ana uthubutu na vision pia.
Huo mji ni wetu wote.
Hao wakuu wa mikoa wangekuwa na maono wangetafuta nao wawekezaji wa kuwekeza mikoani ili miji iendelee kukua na kuleta ajira kwa local people.
Ila jamaa anapambana
Kwani haitoi huduma za kibingwa kwakuwa siyo ya serikali?Bugando sio ya serikali bwashee.
Lindi, Mtwara na Ruvuma hawastahili?Maendeleo hayo.....
Hivi unaipanuaje nchi bila ya kufanya hayo?
Hakika UTHUBUTU ndio unaotakikana.
Wananchi wa CHATO nao wanastahili huduma bora ya AFYA.
MAENDELEO HAYANA VYAMA
Hospitali hiyo ingejenga Nyakanazi ingekuwa na msaada mkubwa mno kwa watu wa Kigoma, Kagera, Rukwa na Shinyanga!Uwepo wa hospitali ya kanda utachagiza ujenzi wa barababara nzuri, airport ndo kama hiyo... watu wa Bukoba na Kigoma watanufaika.
Kwa maoni yako ungependekeza ijengwe wapi?
Malizia kwanini hawakufanya Mambo makubwa makwao kama anavyofanya Magufuli kwake?Kwa nini marais waliopita hawakufanya mambo makubwa kama anayofanya Jpm?
UpumbavuWaliyafanya.
JPM amethubutu na kuusukuma UKUTA pale ambapo HAUSUKUMIKI.
JPM amevunja mazoea.....kwa maneno makali ni kuwa ANAKWEPA SANA STATUS QUO.
This is an awesome leadership Africans miss all the TIMES.
Kila Rais akiingia akafanya hivi, sijui tutakuwa taifa gani?Hakika.....
Mbona Dodoma imechangamshwa?!!
Mperampera huu wa kuzichangamsha wilaya na mikoa ungali unaendelea.......
Awamu ya 5 inathubutu kwa kubadilisha STATUS QUO iliyotuchelewesha......
Binafsi nafikiri na nashauri Serikali itoe idadi ya watumishi wanaohitajika hapo, halafu waajiriwe wapya wote. Ndipo uanze uhamisho wa kubadilishana na wazoefu/wakongwe. Lkn tukihamishia tu kutoka kwenye hoslitali zilizopo tutatengeneza upungufu mkubwa sana kwenye hoslitali nyingine bila ulazima huo.
Sisi watu wa Kigoma, Rukwa na Kagera twende wapi? Kwanini hospitali hiyo isingejengwa hata Nyakanazi ili tukapate huduma huko?Ni Nani asiyejua kuwa BUGANDO HOSPITALI ilizidiwa kwa kukosekana HOSPITALI KUBWA ZA RUFAA kule Mara na Shinyanga?!!!
1.JPM amewajengea wanaMARA ambao waliteseka toka UHURU....
2.JPM amewaongezea wanakanda hapo CHATO GEITA......
3.Kule Mtwara amejenga HOSPITALI KUBWA YA RUFAA itakayowahudumia wanaKusini....
👆👆👆👆👆
HAKIKA NI HATUA KUBWA MNO...TENA MNO!!!
Labda kwa mikoa ya Kagera na maeneo ya KigomaDuh....... Mbona ni jirani zaidi kumpeleka mgonjwa Bugando Mwanza ukitokea Geita, kuliko kumpeleka Chato