jumapil Rashid
New Member
- Jan 21, 2019
- 1
- 0
Mkanda wa jeshi haupo hivyo bwanaMkanda wa jeshi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkanda wa jeshi haupo hivyo bwanaMkanda wa jeshi
Usi panick ki english ni muhimu hata kama hukuelewa darasani,piga english course kitakusaidia kwenye ulimwengu wa sasaHuu ujinga upo africa msomi lazima ajue english kwamba rusia,china na india hawajaenda shule english sio kipaumbele chao mpuuzi na mtumwa wewe
Unamaanisha tayari amekanyaga miwaya!?That is dhingles or herpes zooster caused by zoster virus which affect more immune copromised person
Usi panick ki english ni muhimu hata kama hukuelewa darasani,piga english course kitakusaidia kwenye ulimwengu wa sasa
Mkanda wa jeshi huo.Hii picha nimeipata kwenye forums za Kenya sasa hawajui huu ni ugonjwa gani, Wengine wanasema ni Herpes zoster, wengine wanasema Nyairobi fulae sijui ndiyo ugonjwa gani....
Kuongea lugha ya jamii/taifa jingine ni utumwa wa fikra?Forum na post ipo kwa kiswahili huu upuuzi ndio mnaofundishwa huko shule za kata?
Kwamba wachina wapo nyuma ya dunia kwakua english sio kipaumbele chao?
Huu utumwa upo afrika
English nagonga vizur sana ila sio mtumwa wa fikra
Herpes zoster au mkanda wa jeshi...
Huu hauna tabia ya ku- cross katikati ya mwili....
Jamaa akapime umeme
Wewe ni kichaakwapae miwashology
Herpes zoster ( mkanda wa jeshi?) . Mtoa Mada mgonjwa wako anasumbuliwa na hilo tatizo. Ila ni vizur akimuona daktar wa ngozi.. au physician ( internal medicine )
Kwa nijuavyo mm hapo mgonjwa anatapa homa kali Sana na maumivu yasio elezeka.
Habari njema kwako ni kwamba herpes zoster inatibika.
Treatment
Acyclovir tabs
Acyclovir cream.
Professional siyo ethics ku andka dawa kama nlivyo fanya ila nmekufungua. Matumiz yake uta andikiwa na Dr kulingana na ukubwa wa tattoo unaweza meza ata 12 tabs/day