Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,586
- 3,932
Kama kuna yeyote amewahi kukiona sehemu atujuze pengine mimi ndio wa kwanza duniani kukiona.Pia kama unajua kinaitwaje tujuze pia.
Chondroderella borneensisKama kuna yeyote amewahi kukiona sehemu atujuze pengine mimi ndio wa kwanza duniani kukiona.Pia kama unajua kinaitwaje tujuze pia.
View attachment 1763515
Duh wewe ni mwanabailojia?Chondroderella borneensis
MhChondroderella borneensis
Uko vizuri..Leaf Mimic Katydid (Chondrodellela borneensis) hii ni jamii ya wale grasshoppers
Ndiyo Ukweli WenyeweUkiambiwa Mungu ni fundi uwe unaelewa
Embu kibonyeze tucheki mwendo wakeKama kuna yeyote amewahi kukiona sehemu atujuze pengine mimi ndio wa kwanza duniani kukiona.Pia kama unajua kinaitwaje tujuze pia.
View attachment 1763515
Mantis
Mantis? Bro nishushe nimefika kwetu.Mantis
Sasa mkuu mdudu mwenyewe haeleweki tutamwitaje sasa??Mantis? Bro nishushe nimefika kwetu.
Angiospermophyta zygomycota. 😂😂Sasa mkuu mdudu mwenyewe haeleweki tutamwitaje sasa??
Kwa kiswahili anaitwaje? Achana na hayo majina ya zyagomycota 😁 shida hata kuyatamkaAngiospermophyta zyagomycota. 😂😂
Nyunguri 😂😂Kwa kiswahili anaitwaje? Achana na hayo majina ya zyagomycota 😁 shida hata kuyatamka