- Thread starter
- #21
Nshachoma moto mkuu, ni kitu gani?Mkuu hela hiyo,kuna mwarabu ananunua hizo mambo!
Nshachoma moto mkuu, ni kitu gani?Mkuu hela hiyo,kuna mwarabu ananunua hizo mambo!
Duuh kama ni kiumbe kwanini ulimchoma moto??? Hukuhisi maumivu yake???Kilikuwa kinatingisha mkia, nimekapiga na jiwe, nimemchoma Moto kalikuwa na nyama, kuungua kwa mdoli wa plastic na mjusi ni tofauti kabisaa
Boa la jini hilo....Salamu za asubuhi, hiki kiumbe nimekuta kimefukiwa nyumbani kwangu sehemu ya kuingilia kibarazani bado sijaelewa ni kiumbe gani. Msaada kwa ambae amewahi kukutana na kitu Kama hiki. Ukiangalia kwa umakini utaona mkia Kama wa samaki, kichwa Kama binadamu na mikono kabisa.
View attachment 1895230
View attachment 1895231
Hahahaa Mimi Niko poa, nilichoma Moto mkuu na Sina wasiwasi kabisaaaIla imani ni jambo la ajabu mwamba saivi akiambiwa ataugua ataugua kweli
Kilikuwa kinatingisha mkia, nimekapiga na jiwe, nimemchoma Moto kalikuwa na nyama, kuungua kwa mdoli wa plastic na mjusi ni tofauti kabisaa