Picha: Hii nembo kwenye paji la uso la Mwigulu ina maana gani?

Tuko

JF-Expert Member
Jul 29, 2010
11,178
7,319
Tangu Mwigulu arudi kutoka "China" amekuwa akivaa kofia yenye nembo ya nyota, ambayo anapoivaa nembo hiyo huwekwa kwenye paji la uso
mwigulu illuminati 1.png

IPOdfGYd9_QDrUrAFIIeRtVTyZpwhrNpyEXTn4MfSTU


Lakini kama tujuavyo, Mwigulu hana cheo chochote jeshini au mahali pengine kinachotambulishwa kwa kuvaa nembo ya namna hiyo. Hiyo nembo (na hata rangi yake), sio alama za chama chake.

Inasemwa kuwa nyota ni mojawapo wa alama za Illuminati (Freemansons), ambazo members wake hulazimika kuzivaa mwilini. Unaweza kujifunza zaidi juu ya alama za illuminati katika sites mbalimbali kwenye internet na kwingineko.

mwigulu illuminati 2.png

GFXqiM1EsHYKLwJbyH0NWGUKauHsHw4vctos-deIXhw

Mwigulu ameonekana akivaa nembo hiyo mara kadhaa anapojitokeza na kuhutubia mbele za watu!!!

Mwigulu atueleze, je nembo hii ina maana gani? Au ndio anatafuta wafuasi?
 
Tangu Mwigulu arudi kutoka "China" amekuwa akivaa kofia yenye nembo ya nyota, ambayo anapoivaa nembo hiyo huwekwa kwenye paji la uso
View attachment 96867

IPOdfGYd9_QDrUrAFIIeRtVTyZpwhrNpyEXTn4MfSTU


Lakini kama tujuavyo, Mwigulu hana cheo chochote jeshini au mahali pengine kinachotambulishwa kwa kuvaa nembo ya namna hiyo. Hiyo nembo (na hata rangi yake), sio alama za chama chake.

Inasemwa kuwa nyota ni mojawapo wa alama za Illuminati (Freemansons), ambazo members wake hulazimika kuzivaa mwilini. Unaweza kujifunza zaidi juu ya alama za illuminati katika sites mbalimbali kwenye internet na kwingineko.

View attachment 96869

GFXqiM1EsHYKLwJbyH0NWGUKauHsHw4vctos-deIXhw

Mwigulu ameonekana akivaa nembo hiyo mara kadhaa anapojitokeza na kuhutubia mbele za watu!!!

Mwigulu atueleze, je nembo hii ina maana gani? Au ndio anatafuta wafuasi?


What MWIGULU NCHEMBA is wearing is
Chairman Mao Zedong China Communist Party Army Green Hat Cap... It seems that his recent trip to CHINA open his EYES on COMMUNISM but truthfully OUR ruling PARTY is no longer a SOCIALIST Party nor African Socialism... CCM the Party has moved to the CENTER...



FanChihwei560.jpg


images
images
images
 
Tangu Mwigulu arudi kutoka "China" amekuwa akivaa kofia yenye nembo ya nyota, ambayo anapoivaa nembo hiyo huwekwa kwenye paji la uso
View attachment 96867

IPOdfGYd9_QDrUrAFIIeRtVTyZpwhrNpyEXTn4MfSTU


Lakini kama tujuavyo, Mwigulu hana cheo chochote jeshini au mahali pengine kinachotambulishwa kwa kuvaa nembo ya namna hiyo. Hiyo nembo (na hata rangi yake), sio alama za chama chake.

Inasemwa kuwa nyota ni mojawapo wa alama za Illuminati (Freemansons), ambazo members wake hulazimika kuzivaa mwilini. Unaweza kujifunza zaidi juu ya alama za illuminati katika sites mbalimbali kwenye internet na kwingineko.

View attachment 96869

GFXqiM1EsHYKLwJbyH0NWGUKauHsHw4vctos-deIXhw

Mwigulu ameonekana akivaa nembo hiyo mara kadhaa anapojitokeza na kuhutubia mbele za watu!!!

Mwigulu atueleze, je nembo hii ina maana gani? Au ndio anatafuta wafuasi?

Ahh wewe acha hizo hiyo ni nembo ya ki-communist huko China bana......Ila ni ulimbukeni Mwigulu kauonesha.m
 
Huyu mwisho atakuwa Kama Iddi Amin vyeo vyote atamaliza kujiremba ataona bado
 
Huyu atajiremba na atavaa hadi gwanda la jeshi,then ataona halina maana atataka atubadilishie nasi tumpe t shirt za M4C
 
Ana ndoto za kukigeuza chama chake kuwa cha kikomunist na kuwa chama cha wanyongaji wa watu wasiokishabikia.
 
Ahh wewe acha hizo hiyo ni nembo ya ki-communist huko China bana......Ila ni ulimbukeni Mwigulu kauonesha.m

Kwa CCM alama ya jembe na nyundo ni kuwakilisha wakulima na wafanyakazi. Kwa CDM alama ya vidole viwili ni ni ishara ya V yaani ushindi. Je, kwa wakomunist wa China, alama ya nyota inawakilisha nini?
 
Ana ndoto za kukigeuza chama chake kuwa cha kikomunist na kuwa chama cha wanyongaji wa watu wasiokishabikia.

Nyota ina maana gani kwenye ukomunist? Mi nadhani Mwigulu anajua maana hiyo. Kwa nini asivae kofia yenye jembe na nyundo?
 

What MWIGULU NCHEMBA is wearing is
Chairman Mao Zedong China Communist Party Army Green Hat Cap... It seems that his recent trip to CHINA open his EYES on COMMUNISM but truthfully OUR ruling PARTY is no longer a SOCIALIST Party nor African Socialism... CCM the Party has moved to the CENTER...



FanChihwei560.jpg


images
images
images

Kwa bendera ya CCM jembe na nyundo ni ishara ya wakulima na wafanyakazi. Je, kwa wakomunist wa China, nyota ni ishara ya nini?
 
Chama hicho kina uhusiano gani na freemason?
Mwigulu anahuiana vipi na wachina?
Mbona hata skafu hajawahi kuiacha?
Ni HESHIMA KUBWA SANA KWA MUNGU KUMZOMEA MWIGULU


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Hahahaha @ Communist party of China kina uhusiano na Freemason

Asojua maana haambiwi maana
 
Back
Top Bottom