Elineema J Mosi
JF-Expert Member
- May 17, 2013
- 808
- 148
Tangu Mwigulu arudi kutoka
"China" amekuwa akivaa kofia yenye nembo ya nyota, ambayo anapoivaa
nembo hiyo huwekwa kwenye paji la uso
View attachment 96867
Lakini
kama tujuavyo, Mwigulu hana cheo chochote jeshini au mahali pengine
kinachotambulishwa kwa kuvaa nembo ya namna hiyo. Hiyo nembo (na hata
rangi yake), sio alama za chama chake.
Inasemwa kuwa nyota ni mojawapo wa alama za Illuminati (Freemansons),
ambazo members wake hulazimika kuzivaa mwilini. Unaweza kujifunza zaidi
juu ya alama za illuminati katika sites mbalimbali kwenye internet na
kwingineko.
View attachment 96869
Mwigulu
ameonekana akivaa nembo hiyo mara kadhaa anapojitokeza na kuhutubia
mbele za watu!!!
Mwigulu atueleze, je nembo hii ina maana gani? Au ndio anatafuta
wafuasi?
Muheshimiwa sikuhizi ni freemason? Ayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Ndo maana nyota na mavituzzz inangara sana.