Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
Nyota ina maana gani kwenye ukomunist? Mi nadhani Mwigulu anajua maana hiyo. Kwa nini asivae kofia yenye jembe na nyundo?
Nyota ina maanisha mshikamano wa watu chini ya Chama cha Kikomunisti
Nyota ina maana gani kwenye ukomunist? Mi nadhani Mwigulu anajua maana hiyo. Kwa nini asivae kofia yenye jembe na nyundo?
Kwa bendera ya CCM jembe na nyundo ni ishara ya wakulima na wafanyakazi. Je, kwa wakomunist wa China, nyota ni ishara ya nini?
Kwa CCM alama ya jembe na nyundo ni kuwakilisha wakulima na wafanyakazi. Kwa CDM alama ya vidole viwili ni ni ishara ya V yaani ushindi. Je, kwa wakomunist wa China, alama ya nyota inawakilisha nini?
kauvua uzalendo,yeye ni mchina!Hiyo ni nembo ya Chama cha Kikomunisti cha China
Tangu Mwigulu arudi kutoka "China" amekuwa akivaa kofia yenye nembo ya nyota, ambayo anapoivaa nembo hiyo huwekwa kwenye paji la uso
View attachment 96867
Lakini kama tujuavyo, Mwigulu hana cheo chochote jeshini au mahali pengine kinachotambulishwa kwa kuvaa nembo ya namna hiyo. Hiyo nembo (na hata rangi yake), sio alama za chama chake.
Inasemwa kuwa nyota ni mojawapo wa alama za Illuminati (Freemansons), ambazo members wake hulazimika kuzivaa mwilini. Unaweza kujifunza zaidi juu ya alama za illuminati katika sites mbalimbali kwenye internet na kwingineko.
View attachment 96869
Mwigulu ameonekana akivaa nembo hiyo mara kadhaa anapojitokeza na kuhutubia mbele za watu!!!
Mwigulu atueleze, je nembo hii ina maana gani? Au ndio anatafuta wafuasi?
Red STAR is SYMBOL of COMMUNISM; example
Kwa CCM alama ya jembe na nyundo ni kuwakilisha wakulima na wafanyakazi. Kwa CDM alama ya vidole viwili ni ni ishara ya V yaani ushindi. Je, kwa wakomunist wa China, alama ya nyota inawakilisha nini?