wabunge wote wa Tabora ni wa ccm unategemea lami. Lami ni Hai mpaka Machame. Moshi mpaka Rombo. Iringa Mjini Mby mjini n.k Tabora mnaongozwa na mh Kaapua. Rage etc
Kama sikosei barabara hii iko kwenye ujenzi tunavyongea sasa hivi. Na bila shaka itakuwa tayari kabla ya uchaguzi ujao wa 2015 ili kupata kura na majimbo zaidi huko kanda ya magharibi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.