PICHA: Hii ndio hali halisi katika wodi za hospitali ya taifa Muhimbili leo

Sasa Kama Lugalo imepandishwa na kuwa Hospitali ya Rufaa Muhimbili tufuate nini ? Tupo Lugalo !!!!!!
 
Watanzania mnapiga kura kama vipofu, halafu mnalalama kama vichaa!! Tulieni mnyooshwe vizuri hadi hapo mtakapopata akili 2015!
Mkuu, naomba ututake radhi watanzania. Kilichofanyika ni kwamba watanzania tulipiga kura, lakini Nec na Usalama wa taifa wakateua rais. Hivyo kiongozi tuliye naye si wa kuchaguliwa bali wa kuteuliwa.
 
Kama hii ndio hospitali kuu ya serikali ya jamhuri wa muungano wa Tanzania, hivi hospitali za mwananyamala, temeke, huko mikoani na vijijini hali zao zikoje? DAH!!
 
Sasa tanganyika hatuna budi kujvunia mafanikio tuliyo yapata kwa upande wa AFYA kama tumeweza kutokomeza maradhi kiasi cha wodi zote kubaki tupu!!!!pongezi sana kwa sirikali yetu japo mnatukejeri mnasema ni DHAIFU.Sasa mmejionea wenyewe,na baada ya mafanikio aya kwa upande wa AFYA sasa nguvu zetu zote tunazielekeza kwenye ILIMU. KIGUMU CHAMA TAWALA Kudadadadeeeeeeeeeeeeeki
Ni kweli baada ya miaka hamsini ya uhuru hatimaye serikali yaweza kumtokomeza adui maradhi, big up sana sirikali ya Tanzania. Shukrani Mo na chama chako kwa kuitangazia dunia mafanikio hayo. Natamani Mwalim JK afufuke aone kwa macho yake jinsi ile ndoto yake ya kupambana na wale maadui watatu inavyoanza kutimia.
 
Ina maana wamegoma tena au hawajarudi kazini, tulipigwa changa la macho tu!

He we ndo unajua leo kua mgomo bado unaendelea. Hizo taarifa zinazotolewa naradio na tv stations zao ni kuwaaminisha watu wavijijini walipojaa wapiga kura wao wengi. I hate what this stupid government does.
 
Wagonjwa karibuni wote walipona ,na wagonjwa wapya hawakuwepo kwani mgomo huu umesaidia watu wengi sana kuwa immune au tuseme miili ya Watz imeweza kuzuia maradhi yasiwaingie ,miili ilijirekebisha kwa kutoa hormones maalum za kuzuia kupata maradhi ,baada ya ubongo kuwasha stimuli zinazouelekeza mwili kuwa hakuna madaktari hospitalini,yaani nguvu ya mwili ya kujikinga ilifanya kazi zaidi ya asilimia mia moja.

Hivi kumbe Hormones zinaweza kuzuia mtu kupata maradhi???
 
All patients have been referred to Lugalo National Hospital. Kuna kilaza wa CUF bungeni nilimsikia akimpongeza rais kwa kumaliza mgomo.
 
mbona huyo mkurugenzi wa muhimbili asubuhi leo amesema hali nzuri alikuwa na maana gani?shame on him!!loooh



KUPENDA CCM NI KUPENDA LAANA
 
Tunao vingozi na viongozi nikufikiri na kutatua matatizo yanaokabili wale wanaowaongoza.hivyo basi hapatunalotatizo na viongozi wetu wameacha kufikiri wanatuonyesha mipasho na wale wanaojaribu kuwaambia viongazi wetu wafikiri wakejeliwa kwa mipasho nakutunzana hela zawalipa kodi haohao wasiowasaidia vipi serikali haina pesa zakuhudunia wananchi lakini bungeni waheshiwa wanaimba mipasho na kutunzani kama wako dar live aibuuuuuuuuu je nani atakaye tuondoa hapa naogopa nchi yangu
 
Wandugu Hii kalii!!!

Serikali bado ipo Karne ya 19 ambapo kila jambo ililokuwa ikisema watu wanakubali kwani kila Fikra zilitakiwa kuwa SAHIHI, Mtakumbuka ZIDUMU FIKRA SAHIHI ZA ******* watu ZIDUMU!!!!!!!!!!!!!! ZIDUMU FIKRA SAHIHI ZA ******** watu ZIDUMUUUU!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Watawala wetu bado wako huko, kuwa fikra zao ni sahihi wakati wao si WAADILIFU na WAZALENDO kwa wananchi(UMMA) na hata TAIFA. Utandawazi na uelewa unatufanya tung'amue yote yasiosahihi WAKITAKA TUAMINI KUWA NI SAHIHI NA WAO NI WAO TU WENYE FIKRA SAHIHI.

Mbinu hizi wanazotumia vyombo vya habari (Mlengo wa Serikali) na waajiriwa WAAJIRIWA WANAOTII AMRI wanaotokana na USHIKAJI, haziwafikishi popote, kwani UMMA nao unajua nini kinaendelea.

Inshalaa! ipo siku DOLA itakuwa yao (UMMA) Kitaeleweka.
 
Back
Top Bottom