MPHINGU
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 518
- 613
Kuna picha za kutisha tunazo ziona zinazo tokea kwenye nchi zisizo salama, hizo picha tukiziona mitandaoni, hazitushangazi kwa vile nchi hizo hazina usalama kwao kujeruhi,kuuwa,kubaka hata Kula nyama ya binadamu nikawaida tu.
Kwa hapa Tanzania ni tofauti, sababu Tanzania inajulikana duniani kuwa ni nchi salama duniani na ni kisiwa cha amani na ni nchi yenye kulinda haki za binadamu na ni nchi inayo sifiwa kuwa polisi wake wana weledi wa kulinda haki za raia wake.
LAKINI KWA PICHA HII HAPA
Kama ni ya ukweli(sio edit wala maigizo) itatuharibia sifa ambazo jeshi letu la polisi pamoja na chama tawala (kwenye picha kuna kiongozi wa chama) walizo nazo, kwa sababu kwenye nchi zenye utawala bora, haija wahikutokea POLISI amfanyie KILEMA kitendo cha aibu kama icho
Kwa hapa Tanzania ni tofauti, sababu Tanzania inajulikana duniani kuwa ni nchi salama duniani na ni kisiwa cha amani na ni nchi yenye kulinda haki za binadamu na ni nchi inayo sifiwa kuwa polisi wake wana weledi wa kulinda haki za raia wake.
LAKINI KWA PICHA HII HAPA
Kama ni ya ukweli(sio edit wala maigizo) itatuharibia sifa ambazo jeshi letu la polisi pamoja na chama tawala (kwenye picha kuna kiongozi wa chama) walizo nazo, kwa sababu kwenye nchi zenye utawala bora, haija wahikutokea POLISI amfanyie KILEMA kitendo cha aibu kama icho