Kawe Alumni JF-Expert Member Mar 20, 2019 8,685 11,988 Jul 1, 2020 #2 Acheni kumdhalilisha wazee, huyo mzee lait akijua mwenyekiti wa chadema ni mlevi ataichana chana hiyo gauni.
Acheni kumdhalilisha wazee, huyo mzee lait akijua mwenyekiti wa chadema ni mlevi ataichana chana hiyo gauni.
Renegade JF-Expert Member Mar 18, 2009 7,126 6,764 Jul 1, 2020 #3 ULIPO TUPO, Mfuko wa Shati mahali ulipo panahusika, Ulipo mfuko ni moyoni kwake na ndio ameiweka CCM, VIDOLE (CHADEMA) Vinaelekea mfukoni.
ULIPO TUPO, Mfuko wa Shati mahali ulipo panahusika, Ulipo mfuko ni moyoni kwake na ndio ameiweka CCM, VIDOLE (CHADEMA) Vinaelekea mfukoni.
P Pauline rogat JF-Expert Member May 2, 2020 340 196 Jul 1, 2020 #4 Na wewe acha kumdhalilisha Mbowe ingekuwa wa kwenu tayari ungekuwa lock up!
Mhujumu Uchumi JF-Expert Member Sep 14, 2014 1,575 3,515 Jul 1, 2020 #5 Kawe Alumni said: Acheni kumdhalilisha wazee, huyo mzee lait akijua mwenyekiti wa chadema ni mlevi ataichana chana hiyo gauni. Click to expand... kapakatwe kule mlambamiguu wa lumumba kwa buku7
Kawe Alumni said: Acheni kumdhalilisha wazee, huyo mzee lait akijua mwenyekiti wa chadema ni mlevi ataichana chana hiyo gauni. Click to expand... kapakatwe kule mlambamiguu wa lumumba kwa buku7