Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Watu ni wengi sana.....jua ni kali lakini hakuna anayelijali....
Jeneza la mpendwa wetu......
Waombolezaji wakizidi kusogea eneo la msiba.....
Sugu akitoa salaam
Umati wa watu makaburini
Hali ilivyokuwa baada ya jeneza la marehemu Kanumba kuondoelwa viwanja vya Leaders