USTAADHI
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 1,516
- 136
Wakati TANZANIA ikiwa katika miaka zaidi 20 ya kupractise siasa za vyama vingi tangu mwaka 1992 imeendelea kuonekana dhamira ya srikali ya CCM ni kuidhofisha serikali kila inapobidi ili mradi kuimarisha chama cha mapinduzi bila kujali hasara zinazowakumba walipa kodi hayo yamesemwa na mwenyekiti wa vijana CHADEMA TAIFA bwana JOHN HECHE SUGUTA alipokuwa akizungumza na wanachi,wa kijiji cha ISILILO, kata ya LUWUMBU wilaya ya MAKETE baada ya kukutana na magari zaidi ya matano yenye namba za STK, DFP, (kama yanaavyoonekana katika picha) yakiwa katika kampeni za CCM 'katika hili ndugu zangu itabidi mkurugenzi atueleze ni waraka namba ngapi, wa SERIKALI unaelekeza gari za serikali kufunga bendera za CHAMA CHA MAPINDUZI NA KUFANYA KAZI HIZI ZOTE!!?
kwa bajeti ipi?
la sivyo sisi kama wapigania mabadiliko hili nalo litakuwa swala la kufanyia kazi na sasa naenda kwa mkurugenzi kwa nia njema saana ya kiutaratibu nikiamini kuwa sio kwamba hajui analofanya ila nataka nijiridhishe kuwa anatumiwa na anatumiwa na nani nianze nao hatua kwa hatua 'ALISEMA HECHE KWA HISIA KALI' hatuwezi kuvumilia maswala kama haya kama CCM hawajatosheka kututumia tutawasaidia kujua kuwa tumechoka kutumiwa kwa haraka zaidi kwa mtindo wa peoples power
NOTE
Ikumbukwe kwamba ni juzi tu MH MAGUFULI ALIONYA MATUMIZI MABAYA YA MAGARI YA SERIKALI JE YUKO TAYARI KUPOKEA USHAHIDI HUU WA BWANA HECHE NA KUANZA NA HAWA WA MAKETE?
nakala View attachment 69096View attachment 69098View attachment 69099View attachment 69100View attachment 69101
kwa bajeti ipi?
la sivyo sisi kama wapigania mabadiliko hili nalo litakuwa swala la kufanyia kazi na sasa naenda kwa mkurugenzi kwa nia njema saana ya kiutaratibu nikiamini kuwa sio kwamba hajui analofanya ila nataka nijiridhishe kuwa anatumiwa na anatumiwa na nani nianze nao hatua kwa hatua 'ALISEMA HECHE KWA HISIA KALI' hatuwezi kuvumilia maswala kama haya kama CCM hawajatosheka kututumia tutawasaidia kujua kuwa tumechoka kutumiwa kwa haraka zaidi kwa mtindo wa peoples power
NOTE
Ikumbukwe kwamba ni juzi tu MH MAGUFULI ALIONYA MATUMIZI MABAYA YA MAGARI YA SERIKALI JE YUKO TAYARI KUPOKEA USHAHIDI HUU WA BWANA HECHE NA KUANZA NA HAWA WA MAKETE?
nakala View attachment 69096View attachment 69098View attachment 69099View attachment 69100View attachment 69101