PICHA: Hawa ndio waliomuua mwandishi wa Channel Ten (Daudi Mwangosi) huko Iringa

hv huyu Ubungoubungo ana akili kweli acha usenge wewe,huyo jamaa angekuwa ndg yako ungelisema bahati mbaya au unaongea kwasababu limdomo unalo?
 
Ninachoona ktk picha mojawapo kuna mtu ameelekezwa mtutu. amevaa suruali ya khaki. Na ktk picha nyingine naona sehemu ya mwili ulioraruriwa, sehemu ya miguu na suruali pia ya khaki. Kwa hivyo itakuwa kweli marehemu aliraruriwa ktk cold-blood. Labda kisingizio kitakuwa alikuwa na silaha na alitishia usalama. Sijui. Wauaji hawatakosa hadithi pia.
 
Kusema kweli kwa hiki kitendo nimetokea kuchukia sana jeshi la polisi. It has real pained for what they have done. Inauma for sure.

As Tanzanians, we should think twice and know were we are heading in the near by future. The peace we is no longer peace the peace we know so it's time to stand and fight the corrupt and evil government that is in place at the moment.
 
Vyombo vya habari inabd visusie rasmi kuandika habari za serikali. I means seriously wasusie, mpaka jibu litakapopatikana.
 
Mungu atatulipia muda si mrefu. Sidhani kama kuna kitu cha kusubiri we need to act now. watuue wote tu mbwa na washenzi wakubwa makafiri na maruhani walaanifu hawa wamelaaniwa wao na kazi zao.
 
Propaganda za kijinga hizo, ni wapi hizo picha zinapoonesha wameuwa?

Muuwe nyinyi halafu mje kudanganya humu? tutawakamata tu.

Kuna siku utalia na kusaga meno. Hii dunia tu kaka fedha, dharau na majigambo kama yako hayatakuwa na nafasi. Itaanza kwenye roho yako ambayo inakusuta kwa kulazimisha vitu wakat ukweli unaujua.
 
Mko tayari kuangalia picha ya maiti ikiwa imesambaratika utumbo? Kitaaluma haturuhusiwi kufanya hivyo.

Mkuu, mimi si mwanasiasa, ni mwanahabari hivyo propaganda si sehemu ya kazi yangu. Siku ukiuliwa wewe pia nitawasilisha habari bila kuangalia itikadi zako

Mkuu.
Kwa haya yaliyotokea leo hebu weka kando kwanza hiyo haiba yako ya uandishi! Weka picha tuone udharimu aliofanyiwa mwandishi mwenzako! Hapo tulipo fika tunatakiwa kupigania haki zetu kwa kuweka taaluma pembeni! Hatuwezi kutetea kufuata maadili ya taaluma wakati polisi walio takiwa kulinda usalama wetu wakiuwa raia kila siku.

Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums.
 
Sura zao si zimeonekana, sasa kazi moja kuwasaka kwenye Bar na Nyumba ndogo na kulipiza kisasi. Tuhakikishe hao makamanda wa police wa mikoa na wilaya tunawasaka wake/waume zao, Baba/mama zao ikishindikana basi hata watoto wao. Tuwakate kwa visu na kuacha alama ccm ambayo wanaitetea.
 
Mkuu.
Kwa haya yaliyotokea leo hebu weka kando kwanza hiyo haiba yako ya uandishi! Weka picha tuone udharimu aliofanyiwa mwandishi mwenzako! Hapo tulipo fika tunatakiwa kupigania haki zetu kwa kuweka taaluma pembeni! Hatuwezi kutetea kufuata maadili ya taaluma wakati polisi walio takiwa kulinda usalama wetu wakiuwa raia kila siku.
Hapana, uume wake marehemu unaonekana kwenye picha. Ni mbaya, haipendezi kwenye public domain. Sitofanya kumfurahisha mtu, ni vyema kuzingatia nilichoahidi kukisimamia.
 
Sasa naanza kuamini ule uchunguzi wa Morogoro ni movie nyingine kama ya Kova!! why polisi wanatumia nguvu nyingi sana kwa kipindi hiki cha M4C hawajui ndio itaendelea kuchochea hasira kwa wananchi..so sad..
 
Ubungoubungo

Jifunze kufikiri sawasawa sio kukurupuka tu, unashindwa kuelewa maelezo hata picha huwezi kuelewa.

Wewe sio mzima kabisa ni bora ukakaa kimya tu kuliko kumwaga mashudu yako hapa.

Bahati mbaya inatoka wapi? Mtu uchukue silaha umfuate raia mwema ambaye hana silaha tena yuko chini ya ulinzi ya polisi zaidi ya sita wenye silaha, kisha uchukue silaha, uikoki barabara,umwelekezee tumboni, halafu ufyatue.

Halafu wewe uje hapa udai ni bahati mbaya, hauko sawasawa wewe.

Kama ni bunduki ya bomu la machozi inafuata nini kwenye tumbo la raia mwema?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom