PICHA: Hawa ndio waliomuua mwandishi wa Channel Ten (Daudi Mwangosi) huko Iringa

Kama watz wangekuwa serious kifo cha jamaa wa moro na leo iringa pasinge kalika!
does that mean our police have been trained to kill
 
juzi juzi police ht unguja waliwapig watuwakiombea dua marehemu mlipongeza leo mnalaani any way poleni
 
Waandishi wote wa habari jamani tunaombba mtusaidie jamani lazima haki za binadamu waingilie kati hili suala inauma sana jamani inaumiza sanaa ila mwisho upo tu.
 
Propaganda za kijinga hizo, ni wapi hizo picha zinapoonesha wameuwa?

Muuwe nyinyi halafu mje kudanganya humu? tutawakamata tu.
A picture speaks a thousand words...zipo na video pia...safari hii mmepatikana mb*a nyie!
 
acha pumba,silaha ya bomu la machozi inaelekezwa tumboni?huoni ameielekeza tumboni at a close range?acha ujinga ni heri ukae kimya!
bro, hizo silaha wengine tulishawahi kuzishika na kutuliza gasia kama kawa,..hivyo ninachoongea nakijua...mimi actually sijapendezwa na kitendo hicho cha kiuaji, ila siamini kama walifanya kwa kukusudia....this isn't murder, na kuua bila kukusudia/manslaughter.
 
Ubungoubungo

Bom la machozi linaelekezewa mtu aliyelala chini? Huyo RPC ndio alisomea sheria ya watu wa uawe kwa bom la machozi kwa propaganda kuwa hazikuwa risasi za moto? Ila kitu kizito kama walivyohalalisha ya yule wa Moro?

Ni dhahiri sasa watanzania hutuna tena ulinzi wa ndani. Jukumu la kuchukia kwa sasa ni kila mtu kujilinda mwenyewe dhidi ya wauaji wa raia yaani jeshi la police.
 
Last edited by a moderator:
Inauma sana jamani..!!?
Ina maana wamemwua huyu mwandishi akitekeleza majukumu yake.??
R. I. P mwangosi.

Ni haki ya raia kupata habari, huyu hakuwa na silaha, alikuwa na kitendea kazi chake. Amekufa akiwa anapigania haki ya mwandishi mwezake ambaye naye ameumizwa (Mwandishi wa Nipashe).

Wanaodhania ni siasa wanachanganya. Wanamaanisha mikutano au mikusanyiko yoyote ya wanasiasa tusifike kuwahabarisha wananchi?
 
cjaona sababu ya kuwa na serikali ya kinyama kama hii ya tanzania sasa,watanzania hawana ushirikiano hata kidogo ndio maana wenye nafasi wanatuua kila siku na hatuoni wala kusikia. hivi wewe mtanzania unaye kazania na kuheshimu serikali ya kikatili kama hii unajisikiaje,mimi natamani kusikia kama jirani yako CCM we kata panga hao ndio wanawapa kiburi hawa jamaa! tunakua bila 7bu za msingi hata haki zetu znendeshwa wanapojickia!
 
Askari saba wanamshambulia mtu mmoja asiye na silaha yeyote zaidi ya kitendea kazi chake(camera).
 
Halafu eti wanasema Dr. Ulimboka alitekwa na kichaa wa Kenya...kweli tunahitaji mabadiliko makubwa sana...
 
Mko tayari kuangalia picha ya maiti ikiwa imesambaratika utumbo? Kitaaluma haturuhusiwi kufanya hivyo.

Mkuu, mimi si mwanasiasa, ni mwanahabari hivyo propaganda si sehemu ya kazi yangu. Siku ukiuliwa wewe pia nitawasilisha habari bila kuangalia itikadi zako

Hawa ndo wanao plan haya mauaji. Wanajiona wako salama kabisa na kuwa hakuna atakaye wadhuru. Mkuu waanike kadili uwezavyo ili watu waone unyama halisi wa polisi wao.
 
Kazi ipo...polisi wameanza kujisahau wanatakiwa kufanya nini. Wanatengeneza tatizo kubwa litakaloweza kabisa kupoteza credibility ya jeshi hilo mbele ya watanzania.Mwenye macho haambiwi ona

Haliwezi poteza credibility mara mbili. Limekwisha poteza yote. Halistahili na limepoteza sifa ya kuitwa jeshi la polisi la TZ. Na liitwe kuanzia leo JESHI LA WAUHAJI LA MAGAMBA.
Naka hawajui, wanazidi kupandikiza chuki kwa jeshi hilo na magamba, 2015 ni mbali sana, we can't wait to see our relatives are killed. Juzi moro, leo Iringa, mwisho wananchi wataamua kulipiza kisasi. Magamba msitupeleke huko!
 
bro, hizo silaha wengine tulishawahi kuzishika na kutuliza gasia kama kawa,..hivyo ninachoongea nakijua...mimi actually sijapendezwa na kitendo hicho cha kiuaji, ila siamini kama walifanya kwa kukusudia....this isn't murder, na kuua bila kukusudia/manslaughter.

Kwa hiyo wewe ulipokuwa ukizishika ulikuwa trained kuzielekeza tumboni kwa wananchi?tustafutiane ban.
 
ITV na Radio one wanaripoti eti polisi wamesema kuwa marehemu kaangukiwa na bomu la kutoa machozi...

Hao polisi wanajua kuwa hizi picha sasa ziko kwenye public domain??
 
Back
Top Bottom