PICHA: Harakati za CHADEMA huko Karagwe, Kagera

hoyce

JF-Expert Member
Oct 26, 2010
1,117
297
attachment.php

Wanachama wa Chadema katika Mkutano uliohutubiwa na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa

attachment.php

Katika mkutano huo mjini Kayanga, ambako Dk Slaa alisema Chadema haioni wivu wa kubuni sera na CCM ikatekeleza kwa manufaa ya watanzania

photo(3).JPG
Wajumbe wakiwa katika Baraza la Ushauri wilayani Karagwe, Kagera. Hawa ni viongozi wa majimbo, wilaya na mkoa mzima. Ni utaratibu ambao ni endelevu.

photo2.JPG

wajumbe.jpg
Mwenyekiti wa Chadema mkoani Kagera, Wilfred Rwakatare akifungua mkutano.
 

Attachments

  • photoumati.JPG
    photoumati.JPG
    79.5 KB · Views: 5,125
  • Umati.jpg
    Umati.jpg
    83.5 KB · Views: 4,433
safi sana hoyce i do appreciate your contribution ...maandalizi ya kuunda serikali 2015 naanza kuyakubali,ccm byebye!
 
Duh, kuna mtu hapa alileta habari kwamba mikutano ya Slaa huko karagwe imedoda! Mbona sasa ni contrary kabisa? Duh, nimeamini CCM wanatapatapa sasa hivi.
 
Ahsante mkuu kwa hii taarifa iliyoambatana na picha mwanana. Blandes atakuwa ICU muda huu.
 
attachment.php

Wanachama wa Chadema katika Mkutano uliohutubiwa na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa

attachment.php

Katika mkutano huo mjini Kayanga, ambako Dk Slaa alisema Chadema haioni wivu wa kubuni sera na CCM ikatekeleza kwa manufaa ya watanzania

View attachment 72305
Wajumbe wakiwa katika Baraza la Ushauri wilayani Karagwe, Kagera. Hawa ni viongozi wa majimbo, wilaya na mkoa mzima. Ni utaratibu ambao ni endelevu.

View attachment 72306

View attachment 72307
Mwenyekiti wa Chadema mkoani Kagera, Wilfred Rwakatare akifungua mkutano.




COME ONE NAPE....!!

WHAT MORE DO YOU WANT??


TUKUZOMEE AU TUSIKUZOMEE??

:msela: :peace: :bump2:
 
Thanks hyoice for pics Nice to see, it's colourful!!Kaisho mnaenda? Mkifika kagenyi/kyerwa wawape maji yakunywa. Good work!
 
Ki vipi ikiwa mnasema wanasafirisha mali asili zetu bila MAMLAKA husika kuwakamata?
Watalia na kusaga meno pale wananchi watako wakataa kwa sanduku la kura. Na tutawapa masaa ili warejeshe kila walichokwiba na kuwaweka segerea.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom