Baada ya matokeo watakimbilia kwa mabeberu na kudai wameibiwa kuraView attachment 1561706
Hawa wawili ni wagombea ubunge majimbo mbali mbali hapa Tanzania
Ukiwakuta Twitter wanakuambia tunashinda Urais View attachment 1561707
Siyo kwa Gwajima ndugu yanguHuzijui kampeni za kawe hao watu sio wa kukusanyika kwa wingi
Tuulize tuliokuwepo hapo 2015 hao watu ni wengi mbona na Mdee atashinda hivohivo.
We jamaa Una genye mshindo na ccmMakamanda wa Chadema mpite huku mshuhudie tunachukua dola October
Si walipewa agizo jana na katibu mkuu waojamaa kila wakati upo JF au ndio kazi yako kuandika humu
Hahahah una uchokozi wa makusudi wewe.Makamanda wa Chadema mpite huku mshuhudie tunachukua dola October
Bora hawo kuliko kubeba watu na maisuzu,mafuso na maloriSio mimi kiongozi ni majembe ya Chadema yanapiga kampeni yachaguliwe