Ni Boba boda tu na Bajaji.Kumbe bado linapitika
kuna lile la kutokea mwembesupu kama unatokea pugu mnadaninalo hoii, mto msimbazi unapasua balaaNi Boba boda tu na Bajaji.
Magari yanalazimika kwenda kupita Daraja la Pugu-Mnadani ambapo nalo lipo hoi kwa kipigo cha MvuaView attachment 622427
Kama unaona mbele kule kuna Lori limeshindwa kupitisha Mzigo wa Mbao kwahiyo wakawa wanafaurisha pale kwenye canter.
KUMBUKA KUWA YAMEJENGWA CHINI YA USIMAMIZI WA TINGATINGAAsilimia 89 ya madaraja yaliyojengwa tanzania
Hayako kwenye ubora ulivyojengwa,mvua ikija tena hilo daraja litafagiliwa kabisa
Ova
Sio kila kitu ni kufichua tu, kamanda Mambosasa akiipata hii utakosa dhamana