Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,679
- 20,433
Sasa kwa nini usimpeleke mahakamani mwisilamu mwenzetu? Kulikuwa na haja ya kufanya uvamizi? Aliyemuuzia YM ni mkristu? Kwa nini tusielezane misikitini tukayamaliza waisilamu wenyewe badala ya kuviziana na kuwauzia habari makafiri? Kwa nini ikishindikana tusipelekane kwenye vyombo vya sheria? Je, kwa akili yako (na ya Ponda), kuvamia kiwanja na kuendesha ibada kwenye kiwanja kilichomilikishwa kihalali kwa mtu mwingine, ilikuwa sawa hiyo?,.. sasa Manji akiwa Muislaam ndio haiwezi kuwa kosa? hadi auziwe nani Mkristu au Baniani?. ...