Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,272
Rasputin with his wife and daughter Matryona (Maria) in his St. Petersburg apartment in 1911
Rasputin ni mzaliwa wa Urusi, alikuwa mshika dini sana na alijitangazia uwezo wa kuponya magonjwa. Hii ilikua sababu ya kumuweka karibu na ukoo wa Kifalme. Alimtibu mtoto wa Mfalme Nicholas II ambae alisumbulaiwa na ugonjwa wa haemophilia.
Ukaribu huu na familia ya Kifalme ulisababisha Rasputin kupata vitu vingi na nguvu katika jamii ya Kirusi. Wazee wenye hekima hawakupenda haya na walifanya mpango wa kumuua Rasputin 1916.
Ukaribu wa Rasputin kwa Tsar Nicholai II inasemekana ukichochea mapinduzi ya Kijamaa yaliyouangusha utawala wa Tsar nchini Urusi.