Jamani niulizieni watu wa CUF mziki huu wanauweza?
Preta nimekuona kwenye picha za matukio ..wahamishie Ubelgiji....wapeleke Yugoslavia.....kinachomatter hapa ni nini kinajiri kuhusu mbunge wetu.....tunataka kujua kila kitu......labda hukumu itoke na tusielezwe.....wafanye siri....vinginevyo.....lazima kieleweke.....
kila nikiona mwitikio wa wana Arusha na ukomavu wakisiasa ,huwa na kumbuka JK nyerere na azimio la Arusha.Mikoa yote ingekuwa hivi Tz ingakuwa huru tayari.Big up wana Apolo safi sana Jombaa
Nimeipenda sana hii ina ujumbe tosha!
Tutakusanyika the new machinga complex (NMC), wengine Sanawari stand ya tax
Wengine. Tindigani Kimandolu
Wengine Mianzi
Wengine Ngarenaro
Wengine Patandi
Wengine Leganga
Na kila mahali, tutafunga Big Screens afu tutastrwam Live. Tutalia au kushabikia pamoja. Hata wakaisomee hiyo hukumu Iraq.
Sijui watuziaje habari. Sijuiiiiiiiiii
...Model ya 1954 mkuu inatumia staff gear na bench seat ( hazina head rest)...Ni mchuma halisi ukilinganisha na C-Class za sasa ingawa ni more sophiscated...Mkuu utasababisha CCM wasiwe na imani na polisi, ukizingatia kuwa polisi walipisha maandamano yapite. Na hiyo Mercedes ya Lema sijui ya mwaka gani!
kufa na kupona na m4c ni miradi miwili tofauti.
Msafara wa aliekuwa mmbunge wa jimbo la Arusha mjii ukitokea mahakamani kuelekea katika ofisi za chama
Picha juu na chini wamama wakiwa wanapita njiani wakishangilia aliyekua mbunge wa arusha mjini -Chadema Mh,Godbless Lema wakati akipita kutoka mahakamani
Msafara wa aliekuwa mbunge wa jimbo la Arusha mjini-Chadema Godbless Lema ukitokea mahakamani kuelekea katika ofisi za chama
Gari ya aliyekua mbunge wa Arusha mjini(CHADEMa)Godbless lema likiwa inasukumwa na mashabiki mara baada ya kutoka mahakamani
Aliyekua Mbunge wa arusha mjini(CHADEMA)Mh Godbless Lema akiongea a wananchi nje ya ofisi ya chama mara baada ya kutoka mahakamani leo
wananchi wakiwa nje ya ofisi ya chama wanamsikiliza aliyekua mbunge wa arusha mjini-Chadema Mh Godbless lema
Hawa ni makamanda waliokuwa wamevalia Tisheti za M4C huku mungine akiwa ameshona kanzu kabisa
Gari ya polisi ikiwa inapisha maandamano yapite
----
RUFAA ya kupinga kuvuliwa ubunge wa aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA), ambao ulikua inatarajiwa kusikilizwa leo na jopo la majaji watatu wa Mahakama ya Rufaa chini ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande na wenzake, Natalia Kimaro na Salum Massatiumesikilizwa ila kesi imearishwa.
Kesi hiyo ambayo ilikuwa inatolewa maamuzi jana imeairishwa na jaji mkuu wa Tanzania kwa kile kilichodaiwa kuwa wakili wa upande wa mkata rufaa na wakili wa serekali kupata matatizo ya kufiwa na baba yao mzazi
Jaji mkuu alifikia hatua ya kuamua kesi hiyo ihairishwe hadi pale ifikapo October 2 mwaka huu ambapo ndipo imesemekana huku ya kesi hiyo ndio itakapo tolewa.
Mara baada ya kesi hiyo kuhairishwa umati mkubwa uliokuwepo mahakamani hapo uliondoka hadi katika ofisi za chama cha demokrasia na maendeleo Chadema ambapo aliyekuwa mmbunge wa jimbo la Arusha mjini Godbless Lema alongea na wananchi walikuwa wakimsindikiza nae aliwasihi wananchi hao kuwaombea majaji wa kesi hiyo ili waweze kutoa hukumu ya haki.
mimi sio kwamba nataka nishinde na wala siogopi kushidwa ila naomba tuwaombe hawa majaji wa kesi hii ili waweze kutoa maamuzi ya haki yasiyomgandamiza mtu yeyote,na napenda pia kuchukuwa nafasi hi kuwaeleza kuwa jumanne tunatarajia kufanya mkutano katika kiwanja cha ngarenaro ambapo hapo ndipo tutakapo fungua kampeni zetu za udiwani rasmialisema lema
Alibainisha kuwa mbali na kuzindua kampeni pia wanampango wa kuzindua mikutano ambayo itajulikana kufa au kupona ,mkutano ambao utafanywa nyumba kwa nyumba pamoja na kitongoji kwa kitongoji
Mi nilifikiri ni maonyesho ya gari za kizamani, hivi hizo ndio mlizoleta kutoka UK? Kama M4C ndio usafiri wao ni huo basi zile chopa zitaua watu.
Hii hata mimi nimeikubali tatizo huyo chalii hapo ndio kaharibu picha ya wamama, sijui askari huyo? amejikauuusha.
Nimeipenda sana hii ina ujumbe tosha!
Kufa na kupona na M4C ni miradi miwili tofauti.
Kufa na kupona na M4C ni miradi miwili tofauti.
Mi nilifikiri ni maonyesho ya gari za kizamani, hivi hizo ndio mlizoleta kutoka UK? Kama M4C ndio usafiri wao ni huo basi zile chopa zitaua watu.
Tutakusanyika the new machinga complex (NMC), wengine Sanawari stand ya tax
Wengine. Tindigani Kimandolu
Wengine Mianzi
Wengine Ngarenaro
Wengine Patandi
Wengine Leganga
Na kila mahali, tutafunga Big Screens afu tutastrwam Live. Tutalia au kushabikia pamoja. Hata wakaisomee hiyo hukumu Iraq.
Sijui watuziaje habari. Sijuiiiiiiiiii
salute! Naipenda cdm!