Gonzalo Miguel JF-Expert Member Sep 1, 2018 837 622 Oct 28, 2020 #21 Nilpanga kukunua Gari ila kwa hali hii Mma sinunui... wasije wakalala nayo mbele
Siasa mbaya sana JF-Expert Member Nov 24, 2019 1,814 3,107 Oct 28, 2020 #22 moyes said: mbona hawaja toa kioo cha mbele na iko cha nyuma ambavyo ndo vikubwa Click to expand... muda hakuruhusu mkuu
moyes said: mbona hawaja toa kioo cha mbele na iko cha nyuma ambavyo ndo vikubwa Click to expand... muda hakuruhusu mkuu
HARUFU Platinum Member Jan 21, 2014 31,552 48,148 Oct 29, 2020 #23 Hapo inawezekana wanauza vipuri vya magari, ndio maana unaona gari zote hizo zimekongolewa. Na inawezekana kuna baadhi ya gari zilihusika na ajali na matokeo yake wanaamua kuuza vipuri. Hata wewe unaweza ukawa na gari yako inasumbua, ukaanza kuuza kipuri kimoja baada ya kingine
Hapo inawezekana wanauza vipuri vya magari, ndio maana unaona gari zote hizo zimekongolewa. Na inawezekana kuna baadhi ya gari zilihusika na ajali na matokeo yake wanaamua kuuza vipuri. Hata wewe unaweza ukawa na gari yako inasumbua, ukaanza kuuza kipuri kimoja baada ya kingine
K KISIWAGA JF-Expert Member Oct 22, 2015 8,024 16,488 Feb 20, 2021 #24 Hawa wakiipata ile ford ya kidukulilo sijui itakuaje