Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Niliona hapa kwenye JF kuwa unataka kualika watu wenye Magamba mpaya kuja NY kufungua tawi la Chama Cha Mapinduzi
Kuhusu picha ukiangalia blog ya Mohamed Dewji yeye ndio aliyeweka his picha; sasa kama alikuondoa kwa manufaa ya CCM Mpya Sijui; Sababu Ndani ya CCM kuna watu wengi hawafurahii Maamauzi ya Mzee Malecela.
Calling Me Cheap... To do something, say something, see something, before anybody else - these are things that confer a pleasure compared with which other pleasures are tame and commonplace, other cheap and trivial
go to Mohammed Dewji Blog
Nguu007, that is low, much too low man.
Can you orient your thinkind and discuss issues an policies and not individuals.
If you think Mo Dewjis blog discusses people then please do it there.
I am still at loss as to your intentions and objectives in this thread.
If you have a personal misunderstanding with William I hope you can solve it like men do, and end up with a hand shake.
Ni type ya threads kama hizi ndo watu wana discuss hata mimba ya mke wa katibu mkuu wa chama fulani.
That too low man!